Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Wazee wa Simba mmeanzisha, sasa oneni watu wafanye kweli muendelee kumuita Rais.Kuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa Simba mmeanzisha, sasa oneni watu wafanye kweli muendelee kumuita Rais.Kuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
Kibox cha maoni pale TFF hakijajaaBahasha Fc wanatuharibia mpira ..
Nyie si mliweka kikao kuwasema mawaziri, marefa, mke wa kiongozi wa TFF pamoja na GSM. Sasa kaeni kwa kutulia hapo marefa wameingia mchezoni. Derby ijayo mawaziri watakuwa mchezoni mtakubaliKinachotakiwa ni mpira watu washinde kwa kushindana sio mbeleko fc mpaka aibu bajeti bilioni mnanunua mechi kwa timu zisizo mudu hata mpo mmoja!
Mbumbumbu mlikuwa mkikenua tu meno Yanga ilipokuwa ikinyang'anywa magoli ya wazi kuwa ni offsides Enzi za Mayele, kumbe kulia ni kupokezana?Linesman leo na refa wake wamezingua,kuna moves kama mbili hiv za coastal wameziua kwa kuonesha kuwa ni offside na hazikuwa offside
Kwani tulivyofika final cafcc na robo final ilikuwa Yanga gani?Ukisoma coment za wanautopolo wanafurahia sana huu ubebwaji wao,wantamani kila mechi iwe hivi,hersi na gsm wanaharibu sana ligi yetu,wamekuwa wapolaji wa haki ili tu waonekane ni bora,klabu bingwa hio inakuja mtapigwa nje ndani sana
Sio hii ya viongozi kupanda ushindi wa nje ya uwanjaKwani tulivyofika final cafcc na robo final ilikuwa Yanga gani?
Ile Ya Pacome Dakika ya 84+ ikazaa kona badala iwekwe Tuta ulikuwa ushatoka Banda umizaKuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
Makosa ya waamuzi wa Tanzania yapo Kila mahali na Kila Mechi. Karudie Mechi ya Simba na Namungo Chasambi anatoà Mpira anashangaa anapewa Kona yeye. Kagere anakuwa Offside x2 wakati Yuko on side. Sema umechagua upande ili upage Faraja.Itafungwaje kwa mpango huu hata akitoa mpira mudhathiri wanapewa faida yanga akishika bacca inakuwa faida off side faida inakuwa yanga!
Yanga Bingwa, wanaThiiimbaa 5imba Guvu Moya mlikula kono la nyani.Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo ni shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi wanayojinasibu ni ya sita bado kuna upuuzi mwingi sana,
Mechi ya leo coastal dhidi ya yanga ndio kituko kwa yule refa wa kati na pembeni
Tunalipa pesa kuangalia mpira sio matokeo yatoke mifukoni kwa hersi na marefa tff kazi kwenu la ndio mnasaidia kuandaa bingwa wa mfukoni mchongo tujulisheni!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo ni shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi wanayojinasibu ni ya sita bado kuna upuuzi mwingi sana,
Mechi ya leo coastal dhidi ya yanga ndio kituko kwa yule refa wa kati na pembeni
Tunalipa pesa kuangalia mpira sio matokeo yatoke mifukoni kwa hersi na marefa tff kazi kwenu la ndio mnasaidia kuandaa bingwa wa mfukoni mchongo tujulisheni!
Mbumbumbu auna ata aibu ya kubwata hapa dhidi ya marefa, wewe umepewa point ngapi na hao marefa, wasingekuwa hao ungekuwa nafasi ya ngapi kwa sasa? Ubaya ubwela ukifanyiwa wewe unatoa milio ya Kila aina lakini ukiwafanyia wenzako ni freshi tu sio? Acha upuuzi wenu ni Bora mkachutama mnajiaibisha!Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo ni shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi wanayojinasibu ni ya sita bado kuna upuuzi mwingi sana,
Mechi ya leo coastal dhidi ya yanga ndio kituko kwa yule refa wa kati na pembeni
Tunalipa pesa kuangalia mpira sio matokeo yatoke mifukoni kwa hersi na marefa tff kazi kwenu la ndio mnasaidia kuandaa bingwa wa mfukoni mchongo tujulisheni!
Yule msomali ni mafia alimwambia professor nabi mafanikio ya yanga haya unayoyaona sio kwasababu wewe ni kocha mzuri tunajua wenyewe tunashindaje ndio maana nabi licha ya mafanikio kwenye Caf confederation cup aliamua kuondoka kwasababu za jeuri za viongozi wa yanga zinazosababishwa na marefa.Inatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo ni shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi wanayojinasibu ni ya sita bado kuna upuuzi mwingi sana,
Mechi ya leo coastal dhidi ya yanga ndio kituko kwa yule refa wa kati na pembeni
Tunalipa pesa kuangalia mpira sio matokeo yatoke mifukoni kwa hersi na marefa tff kazi kwenu la ndio mnasaidia kuandaa bingwa wa mfukoni mchongo tujulisheni!
Ahmed Ally alishasema,malalamiko yote ya marefa mpeleke kwenye sanduku la maoni pale Karume,ubaya ubwela.Kuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
kama yule refa aliye maliza mpira kuua shambulio la costal mechi na simbaLinesman leo na refa wake wamezingua,kuna moves kama mbili hiv za coastal wameziua kwa kuonesha kuwa ni offside na hazikuwa offside
tangu lini msomali akaipenda yangaYule msomali ni mafia alimwambia professor nabi mafanikio ya yanga haya unayoyaona sio kwasababu wewe ni kocha mzuri tunajua wenyewe tunashindaje ndio maana nabi licha ya mafanikio kwenye Caf confederation cup aliamua kuondoka kwasababu za jeuri za viongozi wa yanga zinazosababishwa na marefa.
Dua la kuku halimpati mwewe.Ukisoma coment za wanautopolo wanafurahia sana huu ubebwaji wao,wantamani kila mechi iwe hivi,hersi na gsm wanaharibu sana ligi yetu,wamekuwa wapolaji wa haki ili tu waonekane ni bora,klabu bingwa hio inakuja mtapigwa nje ndani sana
jamaa wanasahau mapema sanaAhmed Ally alishasema,malalamiko yote ya marefa mpeleke kwenye sanduku la maoni pale Karume,ubaya ubwela.
Nyie mnashindwa nini kupata ushindi nje ya uwanja?Sio hii ya viongozi kupanda ushindi wa nje ya uwanja