zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
wa yanga ama wa costal mkuuKuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wa yanga ama wa costal mkuuKuna mchezaji wa Yanga alishika mpira ndani 18 refa akapeta,ilikuwa tuta
Yanga BingwaaaaaYule msomali ni mafia alimwambia professor nabi mafanikio ya yanga haya unayoyaona sio kwasababu wewe ni kocha mzuri tunajua wenyewe tunashindaje ndio maana nabi licha ya mafanikio kwenye Caf confederation cup aliamua kuondoka kwasababu za jeuri za viongozi wa yanga zinazosababishwa na marefa.
Haahah hatupendi kupata ushindi nje ya uwanjaNyie mnashindwa nini kupata ushindi nje ya uwanja?
Basi mtuache sisi tunaopendaHaahah hatupendi kupata ushindi nje ya uwanja
NIshatulia najikita kuangalia ball la kweli ulaya hayo mavi ya kijani ya kunuka na marefa wa kuchukua bahasha za GSM bakini wenyewe!Nyie si mliweka kikao kuwasema mawaziri, marefa, mke wa kiongozi wa TFF pamoja na GSM. Sasa kaeni kwa kutulia hapo marefa wameingia mchezoni. Derby ijayo mawaziri watakuwa mchezoni mtakubali
Ni furaha kubwa sana kuona Kolos mkiteseka namna hiiNIshatulia najikita kuangalia ball la kweli ulaya hayo mavi ya kijani ya kunuka na marefa wa kuchukua bahasha za GSM bakini wenyewe!
Kwanza mimi sio kolo kama ulivyo dhani tatu nateseka kweli kuona timu zinatumia gharama kubwa kuandaa malazi na usafiri kusajili mwisho wa siku GSM kesha andaa mshindi ya nini kufanya usajili wa mabilioni ili hali hata akikuchukua wewe utashinda tu game!Ni furaha kubwa sana kuona Kolos mkiteseka namna hii
Kwani sheria inasemaje kuhusu refa kumaliza mpira pale muda unapokua umeisha?.Tukijua sheria inasemaje nfo tutajua je refa alikosea au alikua sawa.Kwani nyie mlipocheza nao kocha si alimaliza mpira mkiwa mnaenda kufungwa goli la tatu?
Kama rahisi hivyo basi Azam angekuwa Bingwa miaka yote.Kwanza mimi sio kolo kama ulivyo dhani tatu nateseka kweli kuona timu zinatumia gharama kubwa kuandaa malazi na usafiri kusajili mwisho wa siku GSM kesha andaa mshindi ya nini kufanya usajili wa mabilioni ili hali hata akikuchukua wewe utashinda tu game!
Azam hanunui mechi kama ilivyo uto!Kama rahisi hivyo basi Azam angekuwa Bingwa miaka yote.
Mechi moja sasa takribani mechi tatu zote faida kwa timu moja aaah jiangalie!Zamalek na al ahly pamoja ya kuwa na VAR ila ilileta utata mpaka wengine wamefungiwa saizi kwa kuhamasisha kugomea mechi
Hii unasemaje?
Ulitakiwa bandiko lako,lingeanza kulalamika gemu ya Dodoma Jiji,Azam zote hizo dhidi dhi Yao simbaInatia kinyaa kuangalia mpira wa bongo na vile hakuna V.A.R ndio kabisa mambo shaghalabaghala,nimefuatilia hizi mechi mbili mfululizo za Yanga waamuzi wote wana ajenda za kuipa Yanga ubingwa sasa kwanini yanga watumie gharama kusajili ili hali njia ya mkato ipo haileti picha nzuri kwa ligi wanayojinasibu ni ya sita bado kuna upuuzi mwingi sana,
Mechi ya leo coastal dhidi ya Yanga ndio kituko kwa yule refa wa kati na pembeni
Tunalipa pesa kuangalia mpira sio matokeo yatoke mifukoni kwa hersi na marefa TFF kazi kwenu la ndio mnasaidia kuandaa bingwa wa mfukoni mchongo tujulisheni!
Nimeandika mpira wa bongo unatia kinyaa hivyo inawakilisha zote ila uto wamezidi kununua game!Ulitakiwa bandiko lako,lingeanza kulalamika gemu ya Dodoma Jiji,Azam zote hizo dhidi dhi Yao simba