Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Nilichogundua mashabiki wengi wa Yanga hapa JF ni watoto ... Hawajui kuwa Yanga ndani ya dakika 26 walipigwa goli tano na Simba SC.
Ne, wajua vipigo mfululizo vilifanya Kilimanjaro beer 🍺 kuondoa mashindano ya nani mtani jembe, hii ni baada ya Yanga kufungwa na Simba SC kila mechj?
Ne, wajua vipigo mfululizo vilifanya Kilimanjaro beer 🍺 kuondoa mashindano ya nani mtani jembe, hii ni baada ya Yanga kufungwa na Simba SC kila mechj?