mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Tumechoka na wachambuzi maandazi wa soka hapa bongo!! Utakuta mtu hajaweahi hata kucheza mpira ligi yoyote, anatokea kuwa eti mchambuzi wa soka huku akiwakosoa marefarii waliosomea kazi yao.
Wengine wanadiriki hata kuwakosoa makocha wenye digrii zao!!! Wakome!! TFF chimbeni biti kali kuwa ni marufuku Redio yoyote kuruhusu mtangazaji wake kuchambua soka bila sifa hizo.
Pia iwe marufuku kwa kituo chochote cha luninga kuweka mchambuzi wa soka asiye na sifa. Hali kadhalika kwa vyombo vyote vya habari ikiwemo magazeti!
Mchambuzi wa kweli bongo hii ni Ally Mayai Tembele. Vituo vya TV viajiri wachambuaji wa kueleweka wenye heshima zao kwenye kandanda kama vile kina Sunday Manara, Abdallah Kibadeni, Zamoyoni Mogella, nk. Nawasilisha, karibuni wachangiaji kwenye uzi huu!
Wengine wanadiriki hata kuwakosoa makocha wenye digrii zao!!! Wakome!! TFF chimbeni biti kali kuwa ni marufuku Redio yoyote kuruhusu mtangazaji wake kuchambua soka bila sifa hizo.
Pia iwe marufuku kwa kituo chochote cha luninga kuweka mchambuzi wa soka asiye na sifa. Hali kadhalika kwa vyombo vyote vya habari ikiwemo magazeti!
Mchambuzi wa kweli bongo hii ni Ally Mayai Tembele. Vituo vya TV viajiri wachambuaji wa kueleweka wenye heshima zao kwenye kandanda kama vile kina Sunday Manara, Abdallah Kibadeni, Zamoyoni Mogella, nk. Nawasilisha, karibuni wachangiaji kwenye uzi huu!