demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Habari humu.
Week iliyoisha imeshuhudia mabingwa watetezi, na timu kubwa na zenye historia kubwa ya kutwaa mataji kwenye Ligi zao wakitoa sare, haswa Mabingwa watetezi wakitoa sare kwenye michezo yao ya LigiKuu.
1. Real Madrid - Valencia
2. Dar Young Africans - Lipuli
Hizi zote zilishikwa shati na klabu za ligi huku zikiambulia sare.
Kwenye pambano ya Ligikuu Bara, mechi ya ufunguzi kati ya Yanga vs FCLipuli kulishuhudiwa moja ya Header safi kabisa iliyopigwa na Donald Ngoma ikimshinda mlinzi wa lango la FCLipuli na kugonga besela la juu na mwisho ukatua chini ikiwa ndani ya mstari wa golini.
Picha mbalimbali za marudio haswa ile ya karibu sana pale golini liyokuwa inaonyesha mahala ambapo mpira umedunda chini na hata kila mtu akaamini kuwa lilikuwa bao sahihi kwa kuwa hata wachezaji walio karibu walinyoosha mkono juu kuashiria ni bao halali.
Je, kutokea kwa minung'uniko kuwa lile halikuwa bao halisi kunathibitisha kuwa uongozi wa aliyekuwa shabiki na mwanachama wa Simba Bw Wallace Karia ameamua kuandaa m
waamuzi rasmi kwenye mechi za watani zake ili wawabebe watani zake kwa lengo lwa kuwasaidia wabebe ndoo kwa mara nyingine tena...?
Week iliyoisha imeshuhudia mabingwa watetezi, na timu kubwa na zenye historia kubwa ya kutwaa mataji kwenye Ligi zao wakitoa sare, haswa Mabingwa watetezi wakitoa sare kwenye michezo yao ya LigiKuu.
1. Real Madrid - Valencia
2. Dar Young Africans - Lipuli
Hizi zote zilishikwa shati na klabu za ligi huku zikiambulia sare.
Kwenye pambano ya Ligikuu Bara, mechi ya ufunguzi kati ya Yanga vs FCLipuli kulishuhudiwa moja ya Header safi kabisa iliyopigwa na Donald Ngoma ikimshinda mlinzi wa lango la FCLipuli na kugonga besela la juu na mwisho ukatua chini ikiwa ndani ya mstari wa golini.
Picha mbalimbali za marudio haswa ile ya karibu sana pale golini liyokuwa inaonyesha mahala ambapo mpira umedunda chini na hata kila mtu akaamini kuwa lilikuwa bao sahihi kwa kuwa hata wachezaji walio karibu walinyoosha mkono juu kuashiria ni bao halali.
Je, kutokea kwa minung'uniko kuwa lile halikuwa bao halisi kunathibitisha kuwa uongozi wa aliyekuwa shabiki na mwanachama wa Simba Bw Wallace Karia ameamua kuandaa m
waamuzi rasmi kwenye mechi za watani zake ili wawabebe watani zake kwa lengo lwa kuwasaidia wabebe ndoo kwa mara nyingine tena...?