Usihangaike nae mkuu jina lenyewe Kitimoto hapo inategemea nini ?Onyesha swali nililoulizwa nikaacha kujibu. Kama FAT hakukuwapo soka la wanawake Tanzania wakati duniani lilikuwapo, sasa huo ndio uimara na uchapakazi wa Karia maana amelianzisha kwa mafanikio makubwa
Ukweli mchunguUkiwasikia mashabiki wa simba na yanga wanavyotoa mishipa kwenye kwenye TV unaweza kudhani tanzania kuna mpira wa maana [emoji16]
Onyesha swali nililoulizwa nikaacha kujibu. Kama FAT hakukuwapo soka la wanawake Tanzania wakati duniani lilikuwapo, sasa huo ndio uimara na uchapakazi wa Karia maana amelianzisha kwa mafanikio makubwa
Hatutaki porojo hapa.
Ebu tuwekee Tanzania kwenye ranking ya FIFA ni ya ngapi kwa uongozi tofauti wa FAT na TFF.
View attachment 2338717
Kitimoto nimekuwekea orodha pale, au nirudie?Bure kabisa!
Iko wapi?Kitimoto nimekuwekea orodha pale, au nirudie?
Uzi uishie hapa.Kufungwa kwa Starz kuna sababu nyingi..
- Morali ya timu naona imeshuka sana, siku hizi starz haina mvuto kabisa ikicheza hata hamu ya kutazama sina.
- Viwango vya wachezaji wetu, nao wengi wameshuka viwango, hawana ubora unaotakiwa kwenda nao kwenye timu ya taifa, huwa hawajitumi wameridhika sana.
Hapa sitaki kutupa lawama kwa TFF kwa kuruhusu wachezaji wengi toka nje, kwani hao wageni nao hufanya mazoezi yao pamoja na wazawa, mwisho wa siku kocha humpanga aliye bora, kocha hawezi kumpanga mzawa hata kama hana kiwango cha kuridhisha.
Uamuzi wa kumuondoa Kim naona ni sahihi, wacha apumzike mzee wa watu, mazingira aliyokutana nayo wakati huu sio sawa na yale ya wakati ule alipofanikiwa kutengeneza vijana wenye vipaji, leo mambo yamevurugika, wachezaji wengi wa sasa hawaeleweki, hata wanaocheza nje.
- Samatta kiwango kimeshuka.
- Msuva haeleweki.
- Ulimwengu haeleweki.
Huyu kibu denis ndio tumepotea kabisaaaa....hamna kitu kabisakwanza sub yake ilichelewa ndani ya daki 25 ningetoaKumfukuza kocha ni kutafuta wa kumuangushia zigo la lawama.
Striker mpole anae cheza ku"shua" pembeni yake kibu denis asiyejua wapi atumie akili wapi atumie nguvu.
Tubaki kupata burudani kwa vilabu vyetu tu ila stars bado sana.
Hawa awaondoki wenyewe mpaka system iwe imewachoka ndio inawaondoa.Uzi uishie hapa.
Malizia na raisi mwenyewe aondoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karia atakutesa hadi ufe kihoro, na badoo, poleeeeeeehNa yule chawa wake Oscar Mirambo, walitakiwa kwa pamoja kujiondoa ili kuwaachia wenye mpira wao.
Miaka nenda wanapiga tu hela pale TFF! Hakuna mkakati wa kueleweka kwenye soka la vijana! Ona sasa, timu inacheza ikiwa haina kabisa morali! Yaani wachezaji wanacheza tu bora liende!! Hakuna muunganiko uwanjani! Hovyo kabisa.
Kumuondoa kocha bado haiwezi kubadilisha chochote iwapo TFF yenyewe imejaa wanasiasa, badala ya wanamichezo.
Tff ndio wameharibu soka la timu ya taifa kwa kuruhusu ligi kutawaliwa na wageni na wazawa wanapigwa benchi kwenye club zao viwango vinashuka.
Jikite kwenye hoja. Acha mipasho. Kuna sehemu nimemtaja huyo msomali wako! Halafu ananitesa kwa lipi sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] karia atakutesa hadi ufe kihoro, na badoo, poleeeeeeeh
Kwa hiyo Stars imefungwa kwa kuwa wewe hauna hamu ya kuitazama?Kufungwa kwa Starz kuna sababu nyingi..
- Morali ya timu naona imeshuka sana, siku hizi starz haina mvuto kabisa ikicheza hata hamu ya kutazama sina.