Hatua nzuri pia mpaka mambo yakae sawa
Hatua ya kuahirisha kuliko kufanya kukiwa na kutokuelewanaUzuri wake nn? Karubu kajitoa, Malinzi amaleta nzi tu na uhaya wake
Kamati ya Utendaji ya TFF imeahirisha uchaguzi hadi hapo itakapokutana Julai 4, mwaka huu.
Imeelezwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi kukiuka taratibu.
Kichekesho hicho kimetolewa leo, ikiwa ni siku moja baada ya wajumbe wa kamati ya uchaguzi kufanya juhudi za Rais wa TFF, Jamal Malinzi afanyiwe usaili licha ya kuwa mahabusu.
Credit: Salehe Jembe
Kwa vipiSerikali ijiweke mbali na hili,huu ni mtego wa kiujanja sana
Hatua ya kuahirisha kuliko kufanya kukiwa na kutokuelewana
ahahahahaTatizo katibu wa kikao inaonekana amekula makinikia ya Jamal
Serikali ikiingilia hili tutafungiwa na fifa,kuna watu wanataka ule msemo wa tukose wote utimie,watanzania ndio tumefikia hapo kwa kuweka maslahi ya taifa kando na kuangalia maslahi binafsiKwa vipi
kushitakiwa malinxi ni mkono we serikali. NimekupataSerikali ikiingilia hili tutafungiwa na fifa,kuna watu wanataka ule msemo wa tukose wote utimie,watanzania ndio tumefikia hapo kwa kuweka maslahi ya taifa kando na kuangalia maslahi binafsi
Serikali iingilie kisha FIFA watoe adhabuKwa vipi