mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Leo tena wamebadilisha ratiba ya mechi ya Azam vs Ndanda iliyobidi ipigwe hapo kesho tar 14.03.2015 Jumamosi badala yake mchezo huo umepelekwa mbele hadi tar. 16.03.2015 Jumatatu.
Viongozi wa timu zote mbili yaani Azam FC na Ndanda wanashangaa sababu za kubadili ratiba ya mechi yao.
TFF ni majanga!
Viongozi wa timu zote mbili yaani Azam FC na Ndanda wanashangaa sababu za kubadili ratiba ya mechi yao.
TFF ni majanga!