netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 480
Point ya msingi wapenda soka, tunataka tujue huyu Kibu Denisi kama hakuwa Raia wa nchi hii pendwa, Mbeya city na Taifa Stars alikuwa anacheza kama mchezaji wa kigen!
Na Simba walimsajili kama mchezaji wa ndan au wa kigeni! Na Uhamiaji, Sheria za kupewa Uraia zilizingatiwa na ni kweli ni rahisi hivyo procedures za kupata Uraia kwamba within a 3days mgen anapewa Uraia!
##TFF msitutishe.
Na Simba walimsajili kama mchezaji wa ndan au wa kigeni! Na Uhamiaji, Sheria za kupewa Uraia zilizingatiwa na ni kweli ni rahisi hivyo procedures za kupata Uraia kwamba within a 3days mgen anapewa Uraia!
##TFF msitutishe.