Taarifa za kuaminika zinasema kua kufatia matokeo mabaya walio yapata Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars katika Fainali za Afcon,zimetosha kua sababu za kumfuta kazi kocha Emmanuel Ammunike..Sababu zingine zakumfuta kazi kocha huyo zikiwa nikutafuta kocha atakae weza kuifanya Stars kuweza kufanya vizuri katka michuano ya CHAN inayotarajiwa kuanza baada ya kumalizika kwa Afcon huku hatua za Awali za kufuzu michuano hiyo inayojumuisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani ya Africa, Stars ikipangwa kuminyana tena na Kenya, Harambee Stars!
Mpaka sasa Tff bado hawajaweka wazi ni nani amekabidhiwa timu mpaka pale kocha mkuu atakapo patikana!
Ammunike is Out!je hiyo ni solution kwa matokeo mabovu kwa Stars?kwenu wanamichezo!