Je timu zisingeongezwa na Caf tokea 16 hadi 24.. tungefuzu?
Je kundi letu lilikuwa gumu kiasi cha kusifia kufuzu?
Watanzania weengi walitegemea Taifa Stars itafungwa lakini kwa kiwango kipi?
Taifa Stars ilifungwa kama walivyofungwa Burundi,Kenya,Namibia,Mauritania,Zimbabwe na wengineo lakini kiwango cha Taifa Stars na hizi nchi zingine kili lingana?
Taifa Stars hata ingepangwa kundi moja na Zimbabwe,Kenya, Na Namibia bado tungeshika mkia?
Taifa Stars pale hakuna kocha.
Je kundi letu lilikuwa gumu kiasi cha kusifia kufuzu?
Watanzania weengi walitegemea Taifa Stars itafungwa lakini kwa kiwango kipi?
Taifa Stars ilifungwa kama walivyofungwa Burundi,Kenya,Namibia,Mauritania,Zimbabwe na wengineo lakini kiwango cha Taifa Stars na hizi nchi zingine kili lingana?
Taifa Stars hata ingepangwa kundi moja na Zimbabwe,Kenya, Na Namibia bado tungeshika mkia?
Taifa Stars pale hakuna kocha.