TFF yaomba radhi yaliyotokea mechi ya Simba na Yanga, kushughulikiwa kikanuni

TFF yaomba radhi yaliyotokea mechi ya Simba na Yanga, kushughulikiwa kikanuni

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
183172226_1979030562236222_7945212505361642854_n.jpg


TFF wameshanawa, sasa ni zamu ya Bodi ya Ligi kunawa ikifuatiwa na Wizara. Wenye akili tushajua maelekezo yalitoka toka ngazi za juu kabisa
 
Wacheni upumbavu na kutuona wajinga nyie TFF, maelekezo ya kutoka wizarani yalikuja kwenu ofisini direct na nyinyi TFF ndio mliochukua jukumu la kuutarifu umma kuhusiana na kuahirisha muda wa awali sasa kivipi tena mtoe taarifa ya kutaka bodi ya ligi ndio itoe taarifa kwa umma kwa ilichotokea?

Na mkumbuke tu Serikali inawasiliana na TFF na sio bodi ya ligi, hivyo maelekezo ya wizara yaliwafikia nyinyi na nyinyi ndio mkazikubali hizo sababu zao za kizwazwa?
 
Hata Hao Bodi ya Ligi Wao Wenyewe Wako Under Umbrella Ya Akina Karia, Angalia Hata Taarifa Zao Zinatolewa na Ndimbo Ambae Ni Muajiriwa na Tff na Sio Body ya League, Ujue Bodi ya Ligi Yenyewe Sio Independent Organization, Maana Hata Wale Vijana walioko pale Ofisi Ya Bodi Ya Ligi Pale Temeke Nhc wanafanya Kazi kwa Mikataba Ambayo wanasainishwa na Tff so Karia Asikimbie Kivuli Cha Bodi Ya Ligi
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] daaah Karia Bana Yaaani Aliyetoa taarifa Ndo Huyo Huyo anataka apewe sababu za kuairisha Mechi Kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] daaah Karia Bana Yaaani Aliyetoa taarifa Ndo Huyo Huyo anataka apewe sababu za kuairisha Mechi Kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alipokea maagizo kutoka wizara ya michezo.Nilipoona tu Rais anahutubia kwenye shererehe la uzinduzi wa likitabu lisilokuwa na maana,muda ambao mechi inatakiwa kuchezwa nikajua hakuna mechi tena.

Katika hili najua TFF na Waziri Bashungwa watalaumiwa sana, ila ukijaribu kufikiria kwa makini utagundua kwamba ilikuwa na oder kutoka kwa mtu wa mwisho kabisa Serikalini.
 
Wacheni upumbavu na kutuona wajinga nyie TFF, maelekezo ya kutoka wizarani yalikuja kwenu ofisini direct na nyinyi TFF ndio mliochukua jukumu la kuutarifu umma kuhusiana na kuahirisha muda wa awali sasa kivipi tena mtoe taarifa ya kutaka bodi ya ligi ndio itoe taarifa kwa umma kwa ilichotokea?

Na mkumbuke tu Serikali inawasiliana na TFF na sio bodi ya ligi, hvyo maelekezo ya wizara yaliwafikia nyinyi na nyinyi ndio mkazikubali hizo sababu zao za kizwazwa
Upumbavu ulianzia kwa kiongozi mkubwa zaidi ya wote Tanzania. Hakukuwa na ulazima wowote wa kulazimisha uzinduzi wa likitabu lisilokuwa na maana.

Kwahiyo kwa akili zako, unategemea Rais ahutubie sehemu, huku game ya Simba na Yanga ikiendelea? [emoji28].Mtazunguka sana, ila si TFF wa Waziri wa michezo wenye makosa, sanasana labda muwatoe sadaka tu, Ili kuficha boko la mama yenu.
 
Back
Top Bottom