TFF yaomba radhi yaliyotokea mechi ya Simba na Yanga, kushughulikiwa kikanuni

TFF yaomba radhi yaliyotokea mechi ya Simba na Yanga, kushughulikiwa kikanuni

Hiyo ya kuomba radhi ilibidi iwe hatua ya pili, hatua ya kwanza tunataka kujua waliojiuzulu ni wa ngapi na wanawadhifa gani hapo TFF na Kwenye wiza ya habari, utamaduni na micheni. Yaan mnakuja simple simple namna hiyo. Kwakweli siwaelewi
 
Nani kakwambi zilitoka ikulu mzee
Tarifa imetoka ikulu yeye waziri, angeliwaje kumkatalia boss wake?Samia ndio kasababisha yote haya kisa eti hatuonyeshe watanganyika jinsi anavyompatia mzee Mwinyi Benzi la maana
 
Pamoja na maagizo kutoka juu Utopolo nao wakapata mwanya wa kukimbia kipigo.uto km uto ni waoga.

Na mganga wao alikuwa ametega saa 11. Uto wakaona isiwe tabu wakaweka mpira kwapani.🤣🤣
 
Upumbavu ulianzia kwa kiongozi mkubwa zaidi ya wote Tanzania. Hakukuwa na ulazima wowote wa kulazimisha uzinduzi wa likitabu lisilokuwa na maana. Kwahiyo kwa akili zako, unategemea Rais ahutubie sehemu, huku game ya Simba na Yanga ikiendelea? [emoji28].Mtazunguka sana, ila si TFF wa Waziri wa michezo wenye makosa, sanasana labda muwatoe sadaka tu, Ili kuficha boko la mama yenu.
Kumbe wewe ni Mataga umepata sehemu ya kuondolea stress zako
 
🐒🐒🐒
098776111.jpg
 
Back
Top Bottom