mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Tarifa imetoka ikulu yeye waziri, angeliwaje kumkatalia boss wake?Samia ndio kasababisha yote haya kisa eti hatuonyeshe watanganyika jinsi anavyompatia mzee Mwinyi Benzi la maanaHuyu waziri wa michezo ni utopolo wa kutupwa kwanini tusiamini hii njama walipanga pamoja
TFF wanasikitika, Bodi watasikitika, waziri atasikitishwa, ,Mashabiki wanasikitika, kama ni hivyoView attachment 1778471
TFF wameshanawa, sasa ni zamu ya Bodi ya Ligi kunawa ikifuatiwa na Wizara. Wenye akili tushajua maelekezo yalitoka toka ngazi za juu kkabi
Tarifa imetoka ikulu yeye waziri, angeliwaje kumkatalia boss wake?Samia ndio kasababisha yote haya kisa eti hatuonyeshe watanganyika jinsi anavyompatia mzee Mwinyi Benzi la maana
ukijua itakusaidia nini. jiongezeNani kakwambi zilitoka ikulu mzee
TFF taarifa kutoka juu, wizara nao taarifa kutoka juuukijua itakusaidia nini. jiongeze
Wizara ilitumia kifungu gani cha sheria?Nafikiri TFF tokea jana kwenye taarifa wamejitahidi kutoa maelezo kwa 'kina' kwamba wao wamepokea maelekezo kutoka Wizarani, sema ndio vile hatuwaelewi.
Mama wa Kudemka / Jumong alitaka taifa zima limuone akimpatia yule mzee benzi la 450 milWizara ilitumia kifungu gani cha sheria?
Kumbe wewe ni Mataga umepata sehemu ya kuondolea stress zakoUpumbavu ulianzia kwa kiongozi mkubwa zaidi ya wote Tanzania. Hakukuwa na ulazima wowote wa kulazimisha uzinduzi wa likitabu lisilokuwa na maana. Kwahiyo kwa akili zako, unategemea Rais ahutubie sehemu, huku game ya Simba na Yanga ikiendelea? [emoji28].Mtazunguka sana, ila si TFF wa Waziri wa michezo wenye makosa, sanasana labda muwatoe sadaka tu, Ili kuficha boko la mama yenu.