Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaana wao hawana akili hata waseme kuwa hayana kibali ilhai yanacho?Kama sheria inawataka waandaaji kuwa na kibali, kuna ubaya gani shirikisho kudai kibali?Kwamba hayo mashindano hayana kibali miaka yote hiyo? Mwana Fa tusaidie hili NW
Mashindano yangekua mapya nisingesema hivyo, mwaka wa 10 huuInaana wao hawana akili hata waseme kuwa hayana kibali ilhai yanacho?Kama sheria inawataka waandaaji kuwa na kibali, kuna ubaya gani shirikisho kudai kibali...
Wewe binafsi umewahi kuandaa mashindano ya mpira bila kauwa na ridhaa yao (TFF).? Kama bado, kwanini unatoa reference ya vitu ambavyo hujui vinafanyikaje?Tff wana chuki binafsi na watu.
Mitaani kuna ndondo cup kibao...
Mashindano yangekua mapya nisingesema hivyo, mwaka wa 10 huu
Ndio waombe kibali sasa, kwani ugumu uko wapi?Waache hizi kuna ma player kibao wanataka kuonanesha walicho nacho kwa kupitia ndondo
Kwa nini iwe sasa wakati uzinduzi unakaribia? Kuna nakala yoyote ya kuwa kila mashindano lazima yawe na kibali iliyotoka kabla ya barua ya leo?Hata kama huko nyuma TFF walikuwaombi kibali, je sio jambo jema la kupongeza wao kuamua kusimamia utaratibu wa mashindano ya mpira kikamilifu hivi sasa?
Je wameomba kibali wakanyimwa?
Mimi ningeshangaa kama NDONDO CUP imeomba kibali kisha ikanyimwa.
Wanaugomvi binafsi na mwajiriwa wa taasisi ambayo ni clouds ,ni ujinga yale siyo mashindano ya Shafii ila alikuwa mmoja wa waratibu na saizi anaratibu MkazuzuHata kama huko nyuma TFF walikuwaombi kibali, je sio jambo jema la kupongeza wao kuamua kusimamia utaratibu wa mashindano ya mpira kikamilifu hivi sasa?
Je wameomba kibali wakanyimwa?
Mimi ningeshangaa kama NDONDO CUP imeomba kibali kisha ikanyimwa.
Bifu lao tu Ndimbo na Dauda wanavimbiana na Startimes TV3 si ndio wanarushaga ndondo cup au imekuaje?Tff wana chuki binafsi na watu.
Mitaani kuna ndondo cup kibao.
Kuna diwani cup
Kuna mbunge cup.
Kuna kombe la mbuzi, ng'ombe na majogoo
Je vibali wanatoa TFF ?
Kwa nini iwe sasa wakati uzinduzi unakaribia? Kuna nakala yoyote ya kuwa kila mashindano lazima yawe na kibali iliyotoka kabla ya barua ya leo?
SHIMIWI,Tff wana chuki binafsi na watu.
Mitaani kuna ndondo cup kibao.
Kuna diwani cup
Kuna mbunge cup.
Kuna kombe la mbuzi, ng'ombe na majogoo
Je vibali wanatoa TFF ?