Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Wanaugomvi binafsi na mwajiriwa wa taasisi ambayo ni clouds ,ni ujinga yale siyo mashindano ya Shafii ila alikuwa mmoja wa waratibu na saizi anaratibu Mkazuzu
Ikiwa wataomba kibali kwa TFF, ni athari gani ambazo zitaikumba hiyo taasisi?