KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ukipitia baadhi ya comment za wadau humu ndio unapata picha kuwa tunaishi kwenye jamii ya namna Gani.
Kufanya jambo kwa kutofuata utaratibu wa jambo hakumaanishi uhalali wa jambo....na kutosimamia jambo ambalo linatakiwa kusimamiwa hakuondoi hakubatilishi jambo.
Kama huo utaratibu upo basi wahusika wanapaswa kufuata utaratibu.
Tusipime uhalali wa jambo kwa mazoea au kwa kumtazama anayefanya au kufanyiwa bali kwa uhalali wake.
Watanzania tuache tabi za kulia lia badala tutumie vyema kilichomo ndani ya mafuvu yetu.
Kufanya jambo kwa kutofuata utaratibu wa jambo hakumaanishi uhalali wa jambo....na kutosimamia jambo ambalo linatakiwa kusimamiwa hakuondoi hakubatilishi jambo.
Kama huo utaratibu upo basi wahusika wanapaswa kufuata utaratibu.
Tusipime uhalali wa jambo kwa mazoea au kwa kumtazama anayefanya au kufanyiwa bali kwa uhalali wake.
Watanzania tuache tabi za kulia lia badala tutumie vyema kilichomo ndani ya mafuvu yetu.