Wanaugomvi binafsi na mwajiriwa wa taasisi ambayo ni clouds ,ni ujinga yale siyo mashindano ya Shafii ila alikuwa mmoja wa waratibu na saizi anaratibu Mkazuzu
We unajuaje kama taasisi haijapeleka maombi?Ikiwa wataomba kibali kwa TFF, ni athari gani ambazo zitaikumba hiyo taasisi?
Mshauri vizuri huyo rais wako wa TFF, kuna mtifuano wa chini chini toka walipompiga chini uongozi wa DRFA acheni kuua vipaji vya vijana wanaochipukia kumbuka.Kwamba muda wa kuomba kibali umeisha kwakua tangazo limetoka leo?
Wao waombe kibali mashindano yaendelee, hizi habari za kila mtu kutaka huruma za wananchi ili sheria zipindishwe kwa masilahi yake binafsi ni ushamba. Alianza Manara kutafuta huruma sasa ni DAUDA, mwisho wa siku sheria ni lazima zifuatwe.
TFF kama inataka vibali waje vingunguti faru wadai vibali na tufuate sheria maaana kuna ligi inaendeleaNdio waombe kibali sasa, kwani ugumu uko wapi?
Tutalalamika endapo TFF itawanyima kibali.
Waache hizi kuna ma player kibao wanataka kuonanesha walicho nacho kwa kupitia ndon
Mnadai kuwa Ndondo Cup ni mashindano yabayoibua vipaji kwaajili ya Taifa letu ila hamtaki Shirikisho linasimamia mpira wa Taifa letu lihusike kwenye hayo mashindano, hizo ni akili?TFF kama inataka vibali waje vingunguti faru wadai vibali na tufuate sheria maaana kuna ligi inaendelea
hata ingekuwa wa 30, no ndondoMashindano yangekua mapya nisingesema hivyo, mwaka wa 10 huu
we ndio hamnazoUnajua haya mambo usipoyaelewa kiundani zaid utaishia kulaum upande mmoja...
Ishu ni mapato tu mzeeNinachojua hayo mashindano huwa yanaratibiwa na DRFA ,Kutakuwa na Jambo nyuma ya pazia tusubili tuone .
Itafanyika, neno lako sio la mwishohata ingekuwa wa 30, no ndondo