daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Labda nikwambie tu kitu kimoja usichokijua kwamba Mpira na siasa ni kama maji na mafuta..Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu
Mbona Yanga walishafunguliwa mashitaka na wakapigwa faini mara nyingi tu, au TFF wameanza lini kuogopa Yanga?Nimeisoma ila sijaona sehemu inayo iwajibisha Yanga zaidi ya mtu mmoja mmoja, lile tukio ni la Yanga na Yanga ndiye anaye takiwa kuwajibika,kinyume chake TFF wanaigopa Yanga.
Ndiyo hapo sasaYanga inabidi waamini Yanga bila Manara inawezekana
Kitenge alitosha kabisa kumaliza shughuli ile.
Mashabiki wamejaa uwanjani bila kuhamasishwa na Manara
Wamenunua jezi
Sasa kutambulisha wachezaji tu Manara wa kazi gani
Mtu akihukumiwa kwenda pale pale askari wanakutia ndani ya karandinga kuelekea gerezani mambo ya nakala ya hukumu na yatafuata ukiwa jela.Wanasheria naomba mnisaidie hili,
Sina uhakika kama Haji amesha kata rufaa but nataka kujua kua endapo mtu ataikatia rufaa hukumu,mtuhumiwa katika kipindi cha kusubiri rufaa yake kusikilizwa atapaswa kuitekeleza ile hukumu yake katika kipindi hicho?
Ndiyo maana kimataifa mnapigwa tuπππ mpira wa bongo ni zaidi ya kuwa na pesa Dada . unaweza kuileta hapa real Madrid na wasichukue ubingwa wa ligi au hats kikombe chochote. Mikoani huko kuna shida sana ukienda kichwa kichwa huambui kitu. Watu kama akina manara ndo wataalamu wa fitna za mikoani . mwaka Jana simba game za away ndo zilimpotezea ubingwa.
Hata ukisikiliza ugomvi wa manara na karia siku ile pale uwanja wa mkwakwani Tanga ni kuwa . Baada ya yanga kutangulizwa na coastal union manara alitoka uwanjani akaenda "HOTELINI" yanga waliporudisha goli ndo manara akarudi uwanjani . baada ya hapo ndipo wakaanza kurushiana maneno na Karia.
BMY soku hizi kama wanalopwa mishahara bure tu, sijui kama hiyo BMT bado ipoWatu wajanja sana walikuwa wanataka hii kesi igeuzwe kutoka TFF Vs Manara to TFF vs Vingozi wa Yanga.
Hapa TFF lazima waite maji mma.
Wameingia kichwa kichwa , Yanga na Simba ni kubwa sana kushinda TFF, huwezi ukapambana na viongozi wake kama unapambana na viongozi wa Ihefu
Ego is the enemy. Manara alitaka aongelewe.Yanga inabidi waamini Yanga bila Manara inawezekana
Kitenge alitosha kabisa kumaliza shughuli ile.
Mashabiki wamejaa uwanjani bila kuhamasishwa na Manara
Wamenunua jezi
Sasa kutambulisha wachezaji tu Manara wa kazi gani