TGIF - JF mpaka kieleweke~~

TGIF - JF mpaka kieleweke~~

QM, namsubiria Sura-ya-Kwanza, najua lazima atakuja kukujibu au kukuunga mkono.... 😉
 
Duh mzee samahani kwa kukusahau...

Basi ngoja nikuandikie shairi lako spesho...

Maxence Melo ukapela umemshinda
Mwezi wa nane jiko anajipatia
wana JF wote tunataka kumchangia
Zawadi za harusi ataibiwa akisinzia
Store ya pombe amesema atanipatia
Vigelegele na vifijo JF tunamshangilia
LoL,

I never expected this mate. Thanks mkuu
 
Mambo ya ajabu ndio yanani-fascinate'. Mi nakwambia wee hujatulia....

Lakini, ebu nipe dondoo kidogo dogo....(i'm all ears)


Nitakupa tu utangulizi, ikifika saa tano usiku Nguruko huwa wanafunga pale chini, na kuacha pale juu open mpaka kama saa sita hivi. Ikifika saa sita wanaitisha call ya mwisho na kufunga. Lakini kwa sababu pale juu pako kama balcony hivi (ngazi za kupandia ziko nje), huwa wanaruhusu wateja kuendelea kukaa mpaka watakapomaliza pombe zao. Kama saa moja baadaye wateja wote wanakuwa wameshamaliza vinywaji na kuanza mbele. Ila siku zote huwa kuna wateja (wawili) ambao huwa wanabakia....

Ungependa niendelee....
 
QM, naomba nyongeza tafadhali kwa ajili ya: Mama, Hollo, Insurgent, Ogah, Icadon, Mpita Njia, Mama mdogo, Kasheshe, Susuviri, Tanzania-1, Abadan, X-paster, The truth, Ab-tichaz, Mzalendo, Kana-ka-Sungu, mchongoma, Pangupakavu, Pascal, Dar si Lamu.....
 
Nitakupa tu utangulizi, ikifika saa tano usiku Nguruko huwa wanafunga pale chini, na kuacha pale juu open mpaka kama saa sita hivi. Ikifika saa sita wanaitisha call ya mwisho na kufunga. Lakini kwa sababu pale juu pako kama balcony hivi (ngazi za kupandia ziko nje), huwa wanaruhusu wateja kuendelea kukaa mpaka watakapomaliza pombe zao. Kama saa moja baadaye wateja wote wanakuwa wameshamaliza vinywaji na kuanza mbele. Ila siku zote huwa kuna wateja (wawili) ambao huwa wanabakia....

Ungependa niendelee....

mmmh, I bet wewe ushawahi kuwa mmoja wa hao waliobaki. Basi mzee inatosha, usiendelee, ama sivyo itabidi nimuombe Mzee Inviiii anipe ruksa niingie temporary kule kwa wakubwa ili unielezee vizuri. Hapa inatosha kwa leo.
 
QM, naomba nyongeza tafadhali kwa ajili ya: Mama, Hollo, Insurgent, Ogah, Icadon, Mpita Njia, Mama mdogo, Kasheshe, Susuviri, Tanzania-1, Abadan, X-paster, The truth, Ab-tichaz, Mzalendo, Kana-ka-Sungu, mchongoma, Pangupakavu, Pascal, Dar si Lamu.....

Mchongoma tayari yuko kwenye shairi la kwanza...

Mama aomba kufungiwa, X-paster ni Mpenzi wa Islamu
The Truth na IQ ya Mwafrika, Ogah alalamika Pangupakavu
Icadon mabucha mtazunguka, haiwezekani kabisa Dar si Lamu
Kwa kwikwi Nakulilia Tanzania, Mzalendo ni Kana-Ka-Sungu
Mandainda aomba kusaidiwa, Insurgent kujilipua ni mbinu
Susuviri ni mzee wa Obama, Ab-Tichaz na ishu za Kisumu
Mama Mdogo yeye ni Mpita Njia, Kasheshe upenda udaku
Hollo amkimbia bwana Abadan, Tanzania-1, Pascal, naye Shakazulu

I told you guys, I have got nothing better to do today...
 
You can't go a day without hatin' on me.....hahahahaaa....I'm flattered, regardless.....

duh!!!
haina tofauti na hii....
kuna watu humu wameshasoma comics za Asterix na Obelix?? kuna jamaa anaitwa Cocofonix ambaye anaamini kajaliwa kipaji cha kupiga gambusi na kuimba (very flat tune) halafu kuna mkali wake aitwaye Fulliautomatix ambaye ndiye musica critical wa Cocofonix the bard. Jamaa kila anapoonekana na kijigitaa chake ujue fulliautomatix yupo nyima yake na bonge la rungu kumchapa nalo....
 
mmmh, I bet wewe ushawahi kuwa mmoja wa hao waliobaki. Basi mzee inatosha, usiendelee, ama sivyo itabidi nimuombe Mzee Inviiii anipe ruksa niingie temporary kule kwa wakubwa ili unielezee vizuri. Hapa inatosha kwa leo.

We acha tu.....usitake kujua zaidi🙂
 
Huyu sijui hata nimwiteje lakini naona kaachwa...sasa hivi anatumia jina la Nyama Hatari aka VRS aka Njabu Ngabu aka Brocolli aka Senor Serginho aka Big Ngabu and many more....
 
Huyu sijui hata nimwiteje lakini naona kaachwa...sasa hivi anatumia jina la Nyama Hatari aka VRS aka Njabu Ngabu aka Brocolli aka Senor Serginho aka Big Ngabu and many more....
eebana eee, kweli kabisa, QM, naomba utuunganishie jina la: Nyama Hatari, ViciousRecklessSavage, Jokofu Kiwete, Njabu Ngabu, Shetani, samvulachole, fiSADIST, Bugurunikwamanyani, Spoila, barabaraya18, Enigma, Gigo, Gigo's Father....
 
eebana eee, kweli kabisa, QM, naomba utuunganishie jina la: Nyama Hatari, ViciousRecklessSavage, Jokofu Kiwete, Njabu Ngabu, Shetani, samvulachole, fiSADIST, Bugurunikwamanyani, Spoila, barabaraya18, Enigma, Gigo, Gigo's Father....

Steve naona umenogewa na mashairi, ha ha haaaa amepatia hasaaa
 
Steve naona umenogewa na mashairi, ha ha haaaa amepatia hasaaa
Mama, miye napenda sana watu wabunifu..... hata kama ubunifu huo hautakuwa na manufaa ya moja kwa moja. Leo QM kaonesha kitu kimoja ambacho nakipenda na kiko rohoni mwangu - UBUNIFU!! 🙂
 
Mama, miye napenda sana watu wabunifu..... hata kama ubunifu huo hautakuwa na manufaa ya moja kwa moja. Leo QM kaonesha kitu kimoja ambacho nakipenda na kiko rohoni mwangu - UBUNIFU!! 🙂

sio mbaya hata mie ubunifu wake umenikuna sio siri.... so funny!
 
QM, Major pia amekuja juu siku na sera za kuiongoza nchi kidikteta!!
 
Painkiller kamsahau, huyu bwana ha-kill pain, anaiongeza. Yaani wiki yaweza kuwa kama mwaka, lol!
 
Back
Top Bottom