TGIF - JF mpaka kieleweke~~

Painkiller kamsahau, huyu bwana ha-kill pain, anaiongeza. Yaani wiki yaweza kuwa kama mwaka, lol!

Second verse mentions my name Mama. Welcome back and have a nice day !
 
Second verse mentions my name Mama. Welcome back and have a nice day !

asante lakini ile 'umeomba mwenyewe' iliniletea regrets, nikatamani kureverse situation but was too late, LOL.

You have a nice day too!
 

Bongo noma! usirudi si umesikia bei ya petroli inazengeazengea mitaa ya shilingi 2,000 bei ya vyakula haishikiki! Bora utafute sehemu nyingine ya kubeba box kuliko kurudi bongo...πŸ™‚
 
Bongo noma! usirudi si umesikia bei ya petroli inazengeazengea mitaa ya shilingi 2,000 bei ya vyakula haishikiki! Bora utafute sehemu nyingine ya kubeba box kuliko kurudi bongo...πŸ™‚

unajua hii kitu sio bongo tu ! hata kwa bush nasikia mfumuko wa bei za vyakula, mafuta ni kama bongo tu !
 
Bongo noma! usirudi si umesikia bei ya petroli inazengeazengea mitaa ya shilingi 2,000 bei ya vyakula haishikiki! Bora utafute sehemu nyingine ya kubeba box kuliko kurudi bongo...πŸ™‚

Kenya si umesikia watu mpaka wameandamana?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…