brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Thabit Abdul amefunguka kuwa ana mpango wa kuipeleka taarabu kanisani kwa kuimba kwaya yenye mahadhi ya taarabu
Thabit amedai kuwa waimba kwaya wengi wenye majina makubwa nchini wamemfuata ili wafanye nae kolabo ingawa mwanzoni alisita ila kwa sasa kaamua kukubali na kutoa ahadi ya kutoa nyimbo za kutosha za kwaya zenye mahadhi ya taarabu
Haya sasa kazi kwenu wapenda kwaya anachotaka kukifanya huyu kijana kipo sawa? Kwa upande wangu naona hayuko sawa maana mziki wanaouimba hauko sawa hata kidogo na umejaa ufirauni sasa suala la kuamishia kanisani naona ukakasi kidogo au mnasemaje waungwana?
Thabit amedai kuwa waimba kwaya wengi wenye majina makubwa nchini wamemfuata ili wafanye nae kolabo ingawa mwanzoni alisita ila kwa sasa kaamua kukubali na kutoa ahadi ya kutoa nyimbo za kutosha za kwaya zenye mahadhi ya taarabu
Haya sasa kazi kwenu wapenda kwaya anachotaka kukifanya huyu kijana kipo sawa? Kwa upande wangu naona hayuko sawa maana mziki wanaouimba hauko sawa hata kidogo na umejaa ufirauni sasa suala la kuamishia kanisani naona ukakasi kidogo au mnasemaje waungwana?