Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Huyo ndio mwenye deal la kuuza Viungo baada ya jamaa kuua sema ukweli unafichwa viungo vya binadamu SA ni deal mno pana kipindi Wazimbabwe walikua wanawachukua watoto Harare na kwenda kuwauza SA mpaka Serikali ilipokuja kugundua na kuweka mazingira magumu ya kuingia na watoto SA na kanuni zinabadilika kila mara nimeona wengine wakirudishwa na watoto wao kisa documents hazijakamilika...huyo angekua Tanzania ukweli Angesema hapa kwetu garage ipo ya kusema ukweli...
 
R 4000 haiwezi kuwa milln 5 badilisha upesi sana hapo.
Hata nyumba hukodi kwa pesa hiyo labda huko makaya.
 
Ningependa kujua kuhusu interpol
Interpol ni international criminal organizations kwa kifupi interpol, ni muunganiko wa majeshi ya police yaliyoamua kufanya kazi pamoja hasa katika kukabiliana na syndicates za kimataifa, kama human trafficking, drugs money laundering na mara nyingi pia kuwakamata fugitives na kuwarudisha kule walikokimbia(but hii kuna T&C must apply),na sio nchi zote duniani ni member, zingine zimeamua kutokua mwanachama, ukiwa na muda unaweza ku google ili upate more information
 
Sorry,nilishindwa kuweka mwendelezo na pia kujibu maswali kadhaa kutokana na kubanwa na shughuli nyingine,wa South wanasema ni bora bester afungwe hukohuko tanzania kwani hawaiamini SAPS kabisa,wana mashaka kuwa anaweza kutoroshwa tena kutoka gerezani huko SA, kuna jambo nililiona tokea habari za bester kuonekana akiwa na Dr Nandipha kwenye supermarket,huku ikiaminika kuwa alishafariki kwa kujichoma moto akiwa gerezani na baadaye akafanyiwa cremation rasmi, thabo bester na Nandipha walikuwa ni wapenzi zamani,lakini waliachana muda mrefu kabla ya bester kuhukumiwa,inasemekana Dr Nandipha alikuwa akimpenda sana jambazi bester, hivyo aliposikia kuwa bester amehukumiwa altona ndiyo gap la kurudisha penzi Lao kwa gharama yoyote,ndipo alipoanza kusuka mipango ya kumtoa bester gerezani,so plan yote ya kumchomoa bester gerezani aliisuka Nandipha,hadi kuwahonga askari wa G4s waliokuwa wanaendesha gereza hilo,kununua maiti waliyoichoma moto wakidai ni ya bester, akagharimia kila kitu ikiwemo nyumba,gari,na expenses zote zitakazomfanya bester kuufurahia uhuru huo bandia,na hata baada ya picha za bester kusambaa akiwa kwenye Mall na nyingine ikimuonyesha akiwa nje ya duka jingine kubwa kusambaa,Nandipha alimhamishia bester kwenye nyumba ya kifahari aliyoipanga kwenye eneo la brooklyn huko Pretoria,baadaye tetesi zikachomoza kuhusu uwepo wa bester kwenye eneo hilo,mwandishi wa habari za kiuchunguzi aitwaye Barry roux ndiye aliyetoa hint kuhusu besters whereabouts, hivyo Dr Nandipha akalazimika kumhamisha tena bester na kumpeleka sehemu isiyojulikana!! Hadi walipokamatwa huko arusha usiku wa jana wakiwa na mtu mwingine ambaye ametambulika kama raia wa Mozambique, pia polisi wa arusha wanasema kuna mtuhumiwa mwingine mmoja ambaye alikuwa pamoja na bester ila bado hajakamatwa, hayo ndiyo mapenzi! Kuna mtu hapo juu aliuliza jinsi ambavyo bester alifanikisha uhalifu wake,bester anajulikana kama Facebook rapist!! Sababu ni hii,bester alikuwa akitumia mtandao wa Facebook kuweka matangazo ya nafasi za ajira nzuri nzuri,alikuwa akiweka na address za kuweza kuwasiliana naye ikiwa utavutiwa na ajira alizotangaza,sasa ukiwasiliana naye anakupa location ya kwenda kwa ajili ya interview na mengineyo,huku akiahidi kuwa gharama za usafiri na malazi utarudishiwa ukishafika kituoni,hapo ndipo watu walijichomeka bila kujua! Kwani baada ya kufika ulikoelekezwa ungepokelewa na bester mwenyewe,atakuonyesha sehemu ya kufikia na kula na kila kitu,sasa hapo ndipo atakuja kukupa interview, atakubaka,atakupora kila kitu,na kama Huna bahati anakuua kabisa!! Umeelewa sasa? Swali ni kuwa Dr Nandipha aliipata wapi maiti aliyoichoma kwa jina la bester? Maskini Dr Nandipha ndiyo ameshaharibu career yake kwa ajili ya mapenzi ya jambazi,muuaji na mbakaji bester, umeona kitu hapo?

Huyu jamaa na mpenzi wake ni malofa sana, yaani, badala ya kutumia brain waliyo nayo kutapeli mahela, yeye anabaka. Bimbi kabisa huyu.
 
Basi Kama kweli Serekali ya South inamtaka Mfungwa wao,bas na sisi watukamatie lile jizi alilosema Mama kua limekopa pesa kibao kwenye Bank zetu 5 na likakimbilia huko South,ili tubadilishane nao na hakuna kuwapa Mfungwa wao bure, au watulipe kwa hiyo kazi iliowashinda wao sisi tumeiweza!!
Hawajataka kumkamata huyo

Kama kweli wanajuwa yupo SA

Na serikali yetu na vyombo vyake vyote vya ulinzi na usalama vipo
Basi kama wana nia na dhati wafanye taratibu akamatwe huko,na ukiona kimya basi juwa hawna interest

Ova
 
Pamoja na hawa fugitives kukamatiwa hapa nchini, ni muhimu mno sheria zetu zikafuatwa, tusi just roll over ili kuwafurahisha SA, kwanza wajibu ilikuaje waukesha mpaka wao bila wahusika kujua, Mr.Bester ndiye pekee aliyehukumiwa, Dr.Nandipa na Mozambique citizen hawa ni illegal immigrants, wapelekwe mahakama na sheria ichukue mkondo wake, kuwa deport SA straight haitakua sawa
Mbona nyie mnapenda kungangania watu,wao wamekamatiwa huku Acha warudishwe kwao sasa we unataka kujipa mzigo wa nini

Ova
 
Hii ni mbaya sana yaani unaratibu mauji ya mtu asiye na Hatia Kwa kuchoma gereza Ili tuu wewe utoroke gerezani.

Kuna mashaka sana na security appatus za Afrika Kusini.

Reference: Thabo Bester and Spouse Dr Nandipha Magadugula.

=======

Tanzania Police have confirmed the arrest of South African prison escapee Thabo Bester and his accomplice Dr. Nandipa Magudumana and one other person by the name of Zakaria Alberto.

In a short statement released by the Police Spokesperson David A Misime, Tanzania Police said they are finalizing, “other international and national procedures” for the case.

Thabo Bester, a serial rapist, scammer, and murderer was confirmed to have escaped Mangaung Prison in South Africa in March 2023 after a viral Twitter picture that showed him shopping. It was later learned that Bester had escaped prison in May 2022 in a ploy that involved fake suicide.

Prison cell where Bester was kept had caught fire only for his corpse to be found burnt beyond recognition. Bester was pronounced dead, only for the news to resurface on social media that he was living large with South African celebrity Doctor, Nandipa Magundumana.

Reports show it was a complex scheme that involved Dr Nandipa Magundumana who collected the burnt corpse from prison, claiming she was the wife of Thabo Bester.

Confirming the arrest of Thabo Bester, South Africa Minister of Justice and Correctional Services Ronald Lamola, says he is expecting to be in Tanzania on Sunday, April 09, 2023, to follow up on the case.

“We have confirmed with all relevant authorities in Tanzania which include the national Police in Tanzania and Interpol that fugitives have been processed in the Tanzania criminal justice system,” said Lamola in a press statement.
HAKUUA MTU!! ALIMTUMIA HUYO DAKITARI KUCHUKUWA MAITI MORTUARY NA KUIWEKA KWENYE CHUMBA CHAKE GEREZANI NA KUKIWASHA MOTO. HAKUUWA MTU ALITUMIA MAITI ILIYOKUWA MORTUARY. HAPO WATU WENGI WANAHUSIKA SANASANA ATARUDISHWA JELA KUTUMIKIA KIFUNGO CHAKE. HAPO POLISI WANAHUSIKA, WATU WA UHAMIAJI WANAUHUSIKA MAGEREZA WANAHUSIKA
 
Hapa nimegundua mambo kadhaa kwamba:-

1. Huyu mwanamke ambaye ni Doctor ndiyo mtu mwenye akili nyingi kuliko huyu mhalifu

2. Mwanamke huyu anafanya haya Kwa sababu tu anampenda jamaa, lakini pia ana tamaa na maisha mazuri ya kutumia akili bila kujitesa na kazi kwa mafanikio ya muda mrefu, Nigerian style

3. Walifanya kosa kubwa sana baada ya mpango wao kutimia, mhalifu alitakiwa kua mafichoni zaidi ya miaka mitano mpaka kumi ndiyo atoke nje ya nchi , kwa tamaa zao wakawahi kutumia pesa na starehe ambazo zimewaponza

4. Huyu mwanamke atatumikia kifungo ambacho ni cha wakati fulani na atakuja kutoka kwa sababu yeye si mhalifu halisi isipokua muwezeshi, ila huyu jamaa yake yamkini akifika huko S.A akapotezwa mazima.

5. Iko hatari kubwa ya ajira kwa mkuu wa gereza na maafisa wa zamu wa siku ambayo mhalifu alitoroka

Mhalifu alikufa, hakutoroka.
 
Best!

Labda wammalize chap...., Lakini mwendo bado upo maana mavuba kwao na kwake yapo!..
 
Mbona nyie mnapenda kungangania watu,wao wamekamatiwa huku Acha warudishwe kwao sasa we unataka kujipa mzigo wa nini

Ova
Kukujibu naweza ila sijui ni ujinga au upumbavu, let's assume ni ujinga, maana unahitaji kuelimishwa, Tanzania sio Choo ni sovereign country yenye sheria zake na ni muhimu sheria hizi zikaheshimiwa, tumejiwekea sheria all illegals ni mahakamani maana wametudhalilisha kwa kuingilia dirishani badala ya mlangoni, pia wame undermine jeshi letu lililopewa kazi ya ku defends our borders, hukumu ni fine au kifungo au vyote kwa pamoja, Mr.Bester ni fugitive, convicted rapists na murderer, huyu ni hatari sana, SA na TZ waangalie kama wana sheria ya kurudishiana wahalifu kama ipo hili lifanyike kwa sisi to lead the process, nadhani umeelewa kama ni ujinga, upumbavu shame can't help
 
... SA walifuta adhabu ya kunyonga adhabu pekee aliyostahili Bester! Angekatiwa hiyo adhabu na ikatekelezwa inavyopaswa bila figisu shida zote hizi za kuhangaika naye zingeshasahaulika zamani. Adhabu ya kunyonga bado ina umuhimu mkubwa duniani.
Kifo ni adhabu? Mbona kinatupata wote.
Wazungu wamefuta hio kitu. Leo unamhukumu mtu kufa kesho unakufa mwenyewe bila hukumu. Binadamu huwa tunajifariji tu.
Tungekuwa tunaishi milele vasi kifo kingekuwa adhabu. We don't know wgat happen after death.
 
Nataman uongeze nyama zaidi! Kwahiyo huyu dem walikutana naye wap akiwa gerezan au ni demu wake wa miaka?
Ujasiri wa huyu dokta unatokana na nini kwamba huyo bista alisingiziwa siyo miuaji au ni mahaba tu?
Huyo Doctor ni Mke wa Mtu, ana watoto 2 na Mume wake, ila alikua anamsaliti Mume wake kwa Kutembea na Msela kabla Msela hajafungwa Jela!

Coz Msela kafungwa 2012, kabla ya hapo walikua Wapenzi tayari, na Doctor akaachana na Mume wake kwa ajiri ya Msela, ila huyo mwana kitambo alikua na Michongo ya kwenda Mbele, anaenda anarudi, akifanya issue za Modeling, akaja kupata pesa nyingi (anajua mwenyewe alikozipata).

So vile alikua anajulikana ni Model na ana connection Ulaya, akawa anawadanganya Wadada kuwafanyia mpango wakawe Model Ulaya, hasa kupitia facebook, na alikua anawalenga wale high class tu, ndo hivyo akawa anawabaka wengine kuwaua, so kuna Mdada mmoja alibakwa akasalimika kuuwa huyo ndo alimfungulia kesi, na hata wakati tukio la moto linatokea, baadye Serikali kutoa taarifa kuwa aliyekufa sio yeye, bado wananchi wengi waliamini ni yeye ndo alikufa!

Doctor keshamfungulia Mashtaka Kaka ake wa kuzaliwa, kwa madai anataka kumdhuru!

Kaka ake aliitisha Mkutano na wana habari akimtuhumu Dada ake kwa kusaliti Ndoa yake, na kwamba anatumika Kuziingiza Pesa chafu za Mhalifu kwenye Mzunguko, ni kama vile Doctor alikua na Access ya pesa za Mwana, coz alianza kununua Nyumba za kifahari kwa bei mbaya!
Mwisho akamtaka Dada ake arudi kwa Mumewe...!

Cha ajabu katika Watu waliokamatwa kwa kuandaa na kutekeleza mpango wa Kuunguza Gereza, Kuua Mfungwa asiye na Hatia na kumtorosha Mhalifu, ni Baba ake Mzazi na huyo Doctor!!!
 
Huyo Doctor ni Mke wa Mtu, ana watoto 2 na Mume wake, ila alikua anamsaliti Mume wake kwa Kutembea na Msela kabla Msela hajafungwa Jela!

Coz Msela kafungwa 2012, kabla ya hapo walikua Wapenzi tayari, na Doctor akaachana na Mume wake kwa ajiri ya Msela, ila huyo mwana kitambo alikua na Michongo ya kwenda Mbele, anaenda anarudi, akifanya issue za Modeling, akaja kupata pesa nyingi (anajua mwenyewe alikozipata).

So vile alikua anajulikana ni Model na ana connection Ulaya, akawa anawadanganya Wadada kuwafanyia mpango wakawe Model Ulaya, hasa kupitia facebook, na alikua anawalenga wale high class tu, ndo hivyo akawa anawabaka wengine kuwaua, so kuna Mdada mmoja alibakwa akasalimika kuuwa huyo ndo alimfungulia kesi, na hata wakati tukio la moto linatokea, baadye Serikali kutoa taarifa kuwa aliyekufa sio yeye, bado wananchi wengi waliamini ni yeye ndo alikufa!

Doctor keshamfungulia Mashtaka Kaka ake wa kuzaliwa, kwa madai anataka kumdhuru!

Kaka ake aliitisha Mkutano na wana habari akimtuhumu Dada ake kwa kusaliti Ndoa yake, na kwamba anatumika Kuziingiza Pesa chafu za Mhalifu kwenye Mzunguko, ni kama vile Doctor alikua na Access ya pesa za Mwana, coz alianza kununua Nyumba za kifahari kwa bei mbaya!
Mwisho akamtaka Dada ake arudi kwa Mumewe...!

Cha ajabu katika Watu waliokamatwa kwa kuandaa na kutekeleza mpango wa Kuunguza Gereza, Kuua Mfungwa asiye na Hatia na kumtorosha Mhalifu, ni Baba ake Mzazi na huyo Doctor!!!
Mh mkuuu ebu endelea kutupa nyamanyama utufungue all maaana weng tunandoto za kufka saiz na kumjua besta na Dr nandfa n nan asa
 
Bongo kuna ma pimbi wengi sana wanadhani Interpol ni polisi wengine toka ughaibuni, hawajui kua hio Interpol inatokana na hao hao polisi wa bongo ila jina tu. Informations zote zinatokana na polisi wa bongo, na ndio kazi walioifanya ya kuwakamata. Interpol ni jina tu, local police ndio wenye kazi yao kuna kitengo tu hapo..
Sawa genius
 
Kumbe unaongea kisiasa,elewa Mr.Bester case yake ipo tofauti na hao wengine ambao kosa lao ni kuwa illegals hapa Tanzania, Mr Bester hawezi kurudishwa tu SA bila kufuata sheria zetu zinasemaje kuhusu issue kama hii,we can't roll over kisa kuwafurahisha SA, elewa Malawi hadi leo almost more than 2yrs hawajamrudisha tapering bushiri SA,maana ana case ya raping na money laundering
We ni mjuaji mufilisi, mambo ya siasa ndo nini, ninyi ndo wale ambao hua mnataka mlichosema ndiyo kiwe sawa hata kama umeongea pumba
 
Back
Top Bottom