Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Who is real Thabo Bester?
His CV and whareabouts?

Nani alimhost Arusha?
 
Ndugu, hata washitakiwe, nchi husika itawachukua .... Yaani Tanzania itakua imeisaidia S. A kuwakamata watuhumiwa wao, kumbuka habari za huko kwao zinasema Kuna maafisa wa huko walikua wakiwafatilia, na situ wamekamatwa na TZ pekee hapana, na walikua wanaelekea Kenya, yaani wako chini ya ulinzi kwa sababu ni nchi husika walio kamatiwa, lakini maafisa wa nchi yao wapo hapa pia, kwa hivyo lazima warejee nao kwao
 
Huyu watabadilishana na askari wa B4 aliywtorokea south

Wasauzi wanamtaka Thabo na sisi tunamtaka soja wetu aliyepo kwao
 
Kumbe unaongea kisiasa,elewa Mr.Bester case yake ipo tofauti na hao wengine ambao kosa lao ni kuwa illegals hapa Tanzania, Mr Bester hawezi kurudishwa tu SA bila kufuata sheria zetu zinasemaje kuhusu issue kama hii,we can't roll over kisa kuwafurahisha SA, elewa Malawi hadi leo almost more than 2yrs hawajamrudisha tapering bushiri SA,maana ana case ya raping na money laundering
 
Toa source mbwiga wewe
 
Kwa sinema aliyo fanya huyu ndugu hakutakiwa kukamatwa milele, uzembe ndio umewaponza, angeondoka south africa mapema alivyomaliza mchezo ange ishi mda mrefu sana, pia asinge jihusisha na mawasiliano yoyote ya watu wanaomfahamu kwa sababu kwao alikua amesha kufa na wamemzika

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Dr. anakesi ya kumtorosha huyo Bester toka Gerezani huko SA labda huyo raia wa Msumbiji lakini hatuwezi jua labda alishiriki pia katika kumtorosha huyo mfugwa Bester toka Gerezani SA. Nafikiri SA wana data za kutosha na utaratibu wa kisheria ni kwamba watafikishwa mahakamani hapa TZ ili mahakama itoe idhini ya kurudishwa SA kujibu mashitaka yao huko kwa kuwa nafikiri TZ na SA wanautaratibu wa kurudishiana watuhumiwa.
 
Nilkua nawaza Bester ni mzembe kwa kukamatwa tena baada ya kufanikiwa kutoroka gerezani ila nmekumbuka kuna kitu hakiepukiki kinaitwa "DESTINY"
 
Nakubaliana nawe kipengele cha hawa suspects (isipokua Mr. Bester)kuwa mahakama zetu ziwahukumu kama illegals wanavyofanyiwa sio kuwapigia magoti SA na kuwarudisha, nchi yetu ni huru na sheria zake LAZIMA ziheshimiwe, kwenye magereza yetu kuna wahamiaji haramu wengi tu, na hawa wawili ni sehemu yao no favour, na pia Dr.Nandipa hana kesi kule SA,hajafunguliwa mashitaka yeyote na hii ni fact mkuu
 
Malawi hadi leo haijawarudisha tapeli bushiri na mke wake ambayo wamekimbia kesi baada ya kupewa dhamana sasa why us to roll over kwa SA?
 
Huyo ni kumtundika shaba. Nachukia mtu mbakaji.

Halafu anayesema Polisi wa SA ni afadhali kuliko wa kwetu naona hawajui hao polisi wa SA. Polisi wa SA ni majambazi bora elfu wa kwetu.
 
Mkuu unauhakika Dr. Nandipa hajafunguliwa kesi huko SA? Wakati alikuwa anatafutwa na ndio kisa cha kukimbia SA. Naona huna taarifa kamili ya issue hii.
 
Wangemalizana nae tu. Chapa risasi za kichwa hadi ubongo umwagike kisha anafukiwa kama mzoga mwingine tu story imeisha. Watu wa hovyo kama hao ambao imeshathibitika ni hatari kuwa loose kwann aendelee kupumua.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…