Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Thabo bester aliyekuwa akitafutwa kwa udi na uvumba na mamlaka za afrika ya kusini amekamatwa leo asubuhi huko mkoani arusha,bester maarufu kama Facebook rapist anatuhumiwa kwa makosa kadhaa yakiwemo ubakaji,utapeli na mauaji,
Kabla ya kukamatiwa tanzania bester alikuwa akitumikia kifungo jela ya Mangaung huko nchini afrika ya kusini ambapo iliripotiwa kuwa bester alifariki akiwa gerezani,na ndipo dada mmoja daktari aitwaye Nandipha Magudumana alijitokeza kuomba kupewa mwili wa bester ili akauzike akidai kuwa ni mke wa thabo bester,ambapo alikubaliwa na kuuchukua mwili kutoka kwenye hospitali ya mangaung na kwenda kuuchoma siku hiyo hiyo,
Lakini siku kadhaa baadae camera za usalama kwenye mall moja hukohuko SAzilimwonyesha mtu anayefanana na bester akiwa na ndevu nyingi na kujitanda kiajemi,ndipo tetesi za kuwa bester you had zilipozagaa na kuishtua polisi ya SA (SAPS)na kuanzisha msako mkali,
Who is real Thabo Bester?
His CV and whareabouts?
Nani alimhost Arusha?