Thailand Idadi ya vijana wa kiume inapungua wengi wanakuwa transgender

Thailand Idadi ya vijana wa kiume inapungua wengi wanakuwa transgender

Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
Hizo nchi mapunga ni wengi sana, kuanzia Malaysia, Singapore na Thailand sijui wana tatizo gani. Indonesia sina hakika
 
Mnaongelea huko wachafu, kutana na brazilian trany utahama kwenu.
Kisha wazazi au familia wakufate na matarumbeta
 
Aiseeeee....[emoji15] [emoji15]
Mdomowangu umebaki wazi....[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
 
Ladyboys
images-24.jpeg
784D28E78C954783B32C3BB510C381EB.jpg
15396_large.jpg
 
Kwenye zile tamthilia zao lazima cast ya shoga iwepo yaani.
kwa sasa ushoga ni janga la kidunia kama ilivyo uraibu wa dawa za kulevya.

lengo la wazungu washenzi wa magharibi linaenda kutimia maana lengo lao la kwanza lilikuwa ni kufanya ushoga uzoeleke midomomi mwa watu ili uchukuliwe kama jambo la kawaida.
 
Nchini Thailand vijana wa kiume wanaojihusisha na biashara ya ngono imekuwa kubwa mno kiasi cha kuhatarisha idadi ua wanaume rijali.

Vijana hawa hufanyiwa operation ya kubadilisha sehemu za siri. ( transgender) na kuwa wanawake jina maarufu lady boys

Wateja wao wakubwa ni raia wa western countries. Wenyewe huita Thailand Disney World ya wakubwa.
Na matumizi yao yanakuaje mkuu[emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom