Thailand Idadi ya vijana wa kiume inapungua wengi wanakuwa transgender

Hizo nchi mapunga ni wengi sana, kuanzia Malaysia, Singapore na Thailand sijui wana tatizo gani. Indonesia sina hakika
 
Mnaongelea huko wachafu, kutana na brazilian trany utahama kwenu.
Kisha wazazi au familia wakufate na matarumbeta
 
Aiseeeee....[emoji15] [emoji15]
Mdomowangu umebaki wazi....[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
 
Kwenye zile tamthilia zao lazima cast ya shoga iwepo yaani.
kwa sasa ushoga ni janga la kidunia kama ilivyo uraibu wa dawa za kulevya.

lengo la wazungu washenzi wa magharibi linaenda kutimia maana lengo lao la kwanza lilikuwa ni kufanya ushoga uzoeleke midomomi mwa watu ili uchukuliwe kama jambo la kawaida.
 
Na matumizi yao yanakuaje mkuu[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…