Thailand imehalalisha rasmi ndoa za watu wa jinsia moja. Ni nchi ya kwanza Kusini-mashariki mwa Asia kuhalalisha ndoa za watu wa jinsia moja

Sawa lazima wakubali ili kupokea misaada kutoka mataifa yenye nguvu.kiufupi ushoga na usagaji hauwezi kuisha sababu ulikuwepo Toka enzi na enzi si swala la kushangaa sana
 
Sawa lazima wakubali ili kupokea misaada kutoka mataifa yenye nguvu.kiufupi ushoga na usagaji hauwezi kuisha sababu ulikuwepo Toka enzi na enzi si swala la kushangaa sana
Inasikitisha
 
Kwa huko sio jambo la ajabu. Nchi nzima imejaa ladyboys.

Unaweza kuta demu mkali, ukiingia nae ana bonge la ndonga.
 
Kwa huko sio jambo la ajabu. Nchi nzima imejaa ladyboys.

Unaweza kuta demu mkali, ukiingia nae ana bonge la ndonga.
Hivi ile idadi kubwa kule ya wale ladyboyz wanazaliwa hivyo au wengine ni palstic surgery?
 
Hivi ile idadi kubwa kule ya wale ladyboyz wanazaliwa hivyo au wengine ni palstic surgery?
Hakuna wa kuzaliwa, ni plastic surgery.

Kuna documentary niliangalia kuhusu Thailand na mambo ya plastic surgery, kwao ni kitu cha kawaida na nafuu mno kufanya. Pia ni sehemu ya utamaduni wao.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…