Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Umetumia akili kuandika, sio ushabiki wa yanga vs simba.
Simba tumefanya makosa
Mechi ya Dsm tulitakiwa kuimaliza mapema, kocha akawaelekeza wachezaji wacheleweshe mipira ikitoka.
Mpira unatoka unaona Kapombe anatembea kama hataki, sekunde zinakatika...

Kocha akachelewa fanya sub, alipofanya akaweka mabeki

Tumeenda Moroco mchezo ukawa huo huo
Wachezaji hawajitumi kushambulia wao wanazuia tu huku wakijua fika ni wabovu kwenye penati.

Afu eti tumetoka kiume, huo ni upumbavu na wenda wazimu
 
Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.

Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.

Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.

Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.

Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Uko sahihi,
Lakini na Ugumu wa Michuano nao unachangia Mkuu.
Jaribu kufikiri Leo angekua ndio Yanga anacheza na Bingwa Mtetezi Wydad Casablanca angemtoa kirahisi kama alivyomtoa Rivers?

Labda next year tujitoleshe Championship ili tuangukie Confederation tujaribu bahati yetu huko. Sababu huko timu zake sio ngumu sana kama za Championship.
 
Yaani Horoya aliekua wa 3 kwenye kundi la Simba ana value kubwa. (US$550,000) kuliko yoyote yule katika Michuano ya kina Yanga atakaeishia nusu fainali (US$ 450,000)
 
Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.

Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.

Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.

Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.

Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Wamesogea kwenda wapi?
Kwani hawakushiriki CL, kwanini hawakuingia makundi?
 
Uko sahihi,
Lakini na Ugumu wa Michuano nao unachangia Mkuu.
Jaribu kufikiri Leo angekua ndio Yanga anacheza na Bingwa Mtetezi Wydad Casablanca angemtoa kirahisi kama alivyomtoa Rivers?

Labda next year tujitoleshe Championship ili tuangukie Confederation tujaribu bahati yetu huko. Sababu huko timu zake sio ngumu sana kama za Championship.
Akili ndogo na wivu wa kijinga, kwani last season ulikuwa wapi? Mbona haukufika alikofika Young Africans kama team za huko ni mbovu ..?
 
Akili ndogo na wivu wa kijinga, kwani last season ulikuwa wapi? Mbona haukufika alikofika Young Africans kama team za huko ni mbovu ..?
Sawa,
Kwa hiyo akili kubwa yako inakuambia timu za huko zinazidi viwango timu za Championship?

Yaani tuweke top 4 ya viwango vya Semi-finalist wa Championship vs wa Confederation tuone wapi wako juu?
 
Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.

Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.

Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.

Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.

Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Hujaelewa, je Man city Atakubali kutolewa champions league ili akashiriki Europa?

Je Man city Akishinda Europa atajitapa?
 
Uko sahihi,
Lakini na Ugumu wa Michuano nao unachangia Mkuu.
Jaribu kufikiri Leo angekua ndio Yanga anacheza na Bingwa Mtetezi Wydad Casablanca angemtoa kirahisi kama alivyomtoa Rivers?

Labda next year tujitoleshe Championship ili tuangukie Confederation tujaribu bahati yetu huko. Sababu huko timu zake sio ngumu sana kama za Championship.
mwaka jana ulikuwa huko ulifika wapi
 
Naomba niwakumbushe ndugu zangu Yanga imeingia nusu fainali

Haya mjadala uendelee
 
mwaka jana ulikuwa huko ulifika wapi
Screenshot_20230501-052806.png
 
Kwema Wakuu,

Kuna haya Makombe mawili ya Africa baadhi ya Watu wanayachanganya. Yaani wanashindwa kujua value ya Kombe flani kwa level fulan ni ipi.

Sasa hapa natumia common measurement ya value in term of zawadi watakazopata washiriki kulinganisha Ili ujue Timu yako iko katika thamani ipi.
View attachment 2605473
View attachment 2605474
Mtajifariji kwa Kila namna

Ili msijinyonge,basi nawaunga mkono

Ili mpate hata faraja
 
Back
Top Bottom