Simba tumefanya makosaUmetumia akili kuandika, sio ushabiki wa yanga vs simba.
Ningekuwa na uwezo ningewatimua timu nzimaUmetumia akili kuandika, sio ushabiki wa yanga vs simba.
Naweka kumbu kumbu sawa tu Mkuu,Tukusadieje mbona malalamiko mengi?
Uko sahihi,Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.
Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.
Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.
Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.
Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Wamesogea kwenda wapi?Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.
Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.
Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.
Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.
Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Akili ndogo na wivu wa kijinga, kwani last season ulikuwa wapi? Mbona haukufika alikofika Young Africans kama team za huko ni mbovu ..?Uko sahihi,
Lakini na Ugumu wa Michuano nao unachangia Mkuu.
Jaribu kufikiri Leo angekua ndio Yanga anacheza na Bingwa Mtetezi Wydad Casablanca angemtoa kirahisi kama alivyomtoa Rivers?
Labda next year tujitoleshe Championship ili tuangukie Confederation tujaribu bahati yetu huko. Sababu huko timu zake sio ngumu sana kama za Championship.
Sawa,Akili ndogo na wivu wa kijinga, kwani last season ulikuwa wapi? Mbona haukufika alikofika Young Africans kama team za huko ni mbovu ..?
Hujaelewa, je Man city Atakubali kutolewa champions league ili akashiriki Europa?Wana simba tuache upumbavu, tukubali Yanga wametuzidi maana hata sisi tulikuwa kwenye mashindano hayo hayo msimu ulopita hatukufika popote pale walipofika wao.
Hizo pesa hata robo ya bajeti haziwezi saidia.
Mashindano ni ufahari na sio swala la pesa maana mashabiki hatuzioni hizo pesa.
Tukubali Yanga wamesogea kuliko sisi, haijalishi ni shindano lipi, wamesonga sisi tumetolewa.
Mfano Mzuri Man City anasubiria kushinda Champions League ili naye aonekane ni bingwa na sio swala la pesa.
Usifananishe LIGI YA MABINGWA na upuuzi.....Kifupi atakayechukua kombe la CAF confederation cup atakuwa kazidi aliyeishia robo fainali CAF champions league kwa kila kitu
mwaka jana ulikuwa huko ulifika wapiUko sahihi,
Lakini na Ugumu wa Michuano nao unachangia Mkuu.
Jaribu kufikiri Leo angekua ndio Yanga anacheza na Bingwa Mtetezi Wydad Casablanca angemtoa kirahisi kama alivyomtoa Rivers?
Labda next year tujitoleshe Championship ili tuangukie Confederation tujaribu bahati yetu huko. Sababu huko timu zake sio ngumu sana kama za Championship.
mwaka jana ulikuwa huko ulifika wapi
ukiwa shirikisho ulikuwa mshindi wa 9
Mtajifariji kwa Kila namnaKwema Wakuu,
Kuna haya Makombe mawili ya Africa baadhi ya Watu wanayachanganya. Yaani wanashindwa kujua value ya Kombe flani kwa level fulan ni ipi.
Sasa hapa natumia common measurement ya value in term of zawadi watakazopata washiriki kulinganisha Ili ujue Timu yako iko katika thamani ipi.
View attachment 2605473
View attachment 2605474
Mkuu
Aahhaaaaaaaukiwa shirikisho ulikuwa mshindi wa 9
hahahahahaha unaulizwa hili unajibu hili