Mbuzi Mzee
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 348
- 82
Ni shidaaaaaaaah!!!!!Hayo atangalia mwenyewe, labda akajirekebisha. ogopa sana mwanamke anayependa kumpanda mwanaume kichani.
Not me!!!pasua head kweli kweli
Mwambie aachane nae tena haraka, mapenzi ya mwanaume kulia lia mwisho Shinyanga kwa akina Shy land.
Mjini wanaume misamaha yao inashia kwenye kutafuta pesa ambayo baadae ndio huwa fimbo yakuwatulizia wanaowasumbua bhana.
Wanaume wa shinyanga Apologise lady hatujui kulia kulia.
sisi mwanamke akizingua anapewa mitege na migumi yakutosha
hamna mapenzi tena hapo.........
Hilo tatizo hata mimi ninalo sahivi, limetofautiana kidogoo.
Madem wa sahivi ni hovyo kabisa
Nimechagua kitu kitakacho nipa furaha ya kweli iwe kazi yangu tuu na Jf basi
Sitaki stress!!
Tatizo demu anashindwa hata kumdanganya mchizi ili alidhike.....kamchokaMwanaume no kichwa cha familia, wote kuheshimiana na neno la MSAMAHA lisiondoke kinywani mwenu.
Hapana,huwa inapumguza mazungumzo mengi.....Hivi kila anayetamka samahani anamanisha kweli ?
Mia mkuu.....ushaur mzurNi dogo lakini cha msingi kama mwanaume ebu pungusa stress na cheki your superconcious mind yako maana hiyoni real self ya binadamu kwenye hiyo level ya mind huwa no stress
AmechanganyikiwaSasa huku unataka picha au umepotea njia?
P1 san*mpelekee zawadi ya kitu anachokipenda na card ya Am Sorry
*mtafute rafiki yake uongee nae vizuri akusaidie kukubembeleze au kama amemzoea shemeji yake(rafiki yako)
*mpotezee kwa muda usimkomalie sana huku unajidai kama upo biz sana siku hizi ila nafasi huna lakini unamkumbuka na siku ukipata nafasi utaongea nae kwa kituo.
*ongea nae face to face sio kwa simu wala kuchat, mkazie macho huku unamsifia na kumbembeleza na kujikosoa wewe kwamba umemfanyia makosa makubwa hayastahili kusamehewa (unajishusha kwamba umekosea)
*ukikutana nae ukimsalimia jaribu kumhug kwa muda kdg bila kumuacha kujitoa (kuna siri kubwa ya hug)
*unapomtamkia neno naomba samahani (try to mean it) moyo wako, sura yako, mwali wako jitahidi uongee kwa unyonge sana hadi unatia huruma 'unaweza hata kutoa chozi sio mbaya'[emoji26]