Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukiacha kuagiza 'Shilingi' itaimarika?Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
NdiyoTukiacha kuagiza 'Shilingi' itaimarika?
Dawa ni Jinamizi hili CCM litokomee kwa mwanzilishi wake Nyerere kuzimuLeo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Ona hili?Yaani wewe kuajiliwa hapo Manispaa unaona umemaliza maisha.Wewe unataka heka yetu iwe juu ili ufanyie nini
Si mnachekelea Mwigulu anavyokopa,hadi maji mtaiita Mmmma! na bado Dola itazidi kupanda kwa kasi sana!!Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Tuzalishe ndani bidhaa tunazonunua nje. Vinginevyo shilingi itazidi kuporomoka.Ndiyo
Kwanza imejitahudi,Hali ya uchumi wa Dunia sio nzuri,currency crunch sio Tanzania tuu ni karibu Nchi nzote Kwa sasaLeo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Labda tunauza sana bidhaa nje, ili kurahisisha na kuboresha Uchumi!!! Lakini, kama hatuuzi sana bidhaa nje basi hilo letu!!!Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Tunatumia pia pesa kumpa huyo mungu wako uchumi ukiharibika sijui atapata nin huyo mungu wakoHamjui kusoma alama za nyakati.
Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.
Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.
Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.
Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.
Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.
Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .
Ameen
labda mpaka mchakato wa BRICS ukamilike wa kuachana na dola na tujiungeLeo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Mwendazake aliacha 2310 imeongezeka 40 Siku 720 tu ikifika miaka 5 itakuwajeLeo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?