mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Na yeye aliikuta 1650 mwaka 2015Mwendazake aliacha 2310 imeongezeka 40 Siku 720 tu ikifika miaka 5 itakuwaje
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye aliikuta 1650 mwaka 2015Mwendazake aliacha 2310 imeongezeka 40 Siku 720 tu ikifika miaka 5 itakuwaje
Acha kusema uongo.magufuli alikuta 2250 hadi anaondoka ilipanda kidogo tu.lakini wa sasa tunakoelekea atamaliza mda wake ikiwa zaidi ya 3000Na yeye aliikuta 1650 mwaka 2015
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
we ulikuwa wapi siku zote hizo. Ulikuwa nje ya nchi. Dola ya marekani imekaa hapo (TShs 2350) muda mrefu sana nafikiri tangia kipindi cha Magu. Acha kukurupuka kuandika vitu usivyovijua.Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Ili import iwe cheapWewe unataka hela yetu iwe juu ili ufanyie nini
Huku tunaambiwa uchumi unakuwa,kwa Mwigulu tumepigwaLeo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Na jana, juzi na muda wote.Hiyo 2350 kwa USD 1 unailinganisha na lini?
2015 mwendazake alikuta imefika 2000. Kaporomosha 300+ toka 2015 hadi 2020. JK aliporomosha 1000+ tokea 2005 hadi 2015.Na yeye aliikuta 1650 mwaka 2015
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
Siyo kweliwe ulikuwa wapi siku zote hizo. Ulikuwa nje ya nchi. Dola ya marekani imekaa hapo (TShs 2350) muda mrefu sana nafikiri tangia kipindi cha Magu. Acha kukurupuka kuandika vitu usivyovijua.
Yeye alikuta ngapi!?Mwendazake aliacha 2310 imeongezeka 40 Siku 720 tu ikifika miaka 5 itakuwaje
Fungua kiwanda/viwanda vya hizo bidhaa unazoagiza,itasaidia shilingi kuimarika,pesa ni bidhaa,ikihitajika kwa wingi hupanda thamaniIli import iwe cheap
ila story za dini zinatishia sana watu 😂😂🤣🤣Hamjui kusoma alama za nyakati.
Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.
Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.
Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.
Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.
Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.
Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .
Ameen
Hamjui kusoma alama za nyakati.
Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.
Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.
Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.
Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.
Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.
Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .
Ameen
Huyo mungu wako ukiwa huna sadaka huendi kanisaniHamjui kusoma alama za nyakati.
Kuanzia 2023 imetabiriwa Uchumi wa Dunia kuporomoka, Mungu aliumba Dunia, akatukabidhi, Badala ya kumwabudu Mungu, tunatumia pesa zetu kumtenda dhambi.
Kila kitu kitavurugwa, ni tuanze moja, tukumbuke tulipojikwaa.
Kuanzia 2023 na kuendelea, hayupo atakayetegemea pesa ktk mabenki alikotunza akiba maana vyote vitapukutika.
Imeandikwa, mwenye HAKI ataishi Kwa Imani, huu ni mwanzo wa Ishara tu, mziki wenyewe unaanza 2024 na kuendelea.
Tutarudi tu shambani, Ili mtu ale ni lazima afanye KAZI na atoke JASHO, mifumo yote ya ajira itavurugika.
Ingia kwenye safina kama utapenda kustahimili mkwamo unaokuja .
Ameen
Nasi tuongeze uzalishaaji wa exportsUchumi unazidi kuporomoka kwa kasi ya mwanga.yote haya sababu ni uwajibikaji dhaifu wa serikali
Alikuta 2305Yeye alikuta ngapi!?
Acha uongo alieisimamia Dora vizuri ni jpm ,mkapa na Nyerere tuNa yeye aliikuta 1650 mwaka 2015
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
siyo kweli kitu gani, fuatilia taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika. Leo hii tar 24.04.2023 dola ya Marekani ilinunuliwa kwa sh. 2301 na kuuzwa kwa sh 2324. Taarifa ya BOT. nenda hata kwenye tovuti yao siyo mnajidanganya vijiweni. Huyo mpotoshaji ana malengo yake maovu.Siyo kweli
Mahali ndo wapi?2350?
Mbona nimeona mahali 2402?