Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thamani ya pesa Ina athari ndogo sana kwenye GDP growth sawa tuu na inflation rate.
Tuliondoe hili jinamizi tuweke kitu gani?Dawa ni Jinamizi hili CCM litokomee kwa mwanzilishi wake Nyerere kuzimu
Huu ni uongo mkubwa aiseeNa yeye aliikuta 1650 mwaka 2015
Mpaka anaondoka ongezeko la 660 siku 2160
Sijui angemaliza ingekuwaje
Kwahiyo 2016 ndio 2015?Wewe mnafiki sana! Nyie ndio View attachment 2598635mataahira ya Samia! Soma hapo!
wagalatia mnakazana Kweli kweliHuu ni uongo mkubwa aisee
sishangai matusi ndio mnafundishwa kanisani, takwimu za uongo kuliko 2016 ni 2015Wewe pimbi sana! Huyo Samia amekupa nini? Taahira mkubwa unaparamia tu mada hata hoja huna taarifa!
Hata kama alikuta ni 1500 yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli aliua uchumi wa Nchi hili lipo wazi sana ikijumuisha na projects zake kubwa zinazopeleka nje hela ndio kabisa.Acha kusema uongo.magufuli alikuta 2250 hadi anaondoka ilipanda kidogo tu.lakini wa sasa tunakoelekea atamaliza mda wake ikiwa zaidi ya 3000
Acha uongo tena huyo Magu ilifikia wakati akawa ana I fix $Acha uongo alieisimamia Dora vizuri ni jpm ,mkapa na Nyerere tu
Mataahira ya magufuli soma hapoooooWewe mnafiki sana! Nyie ndio View attachment 2598635mataahira ya Samia! Soma hapo!
Hayo makaratasi yako yana dhamana gani mpaka yatumike kuagizia bidhaa?Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Yes, nimemaliza hela huoni haina dhamani utaenda wapi nayo nje hatuko kwenye mabangoo yakubadilishia pesa uone haina dhamani Bora dola iwe juuOna hili?Yaani wewe kuajiliwa hapo Manispaa unaona umemaliza maisha.
Hadi JK anatoka dollar ilikuwa ishafika 2100Kwa kuwa ni wagalatia wenzako?
Mwongo mkubwa, magufuli alikuta daola 1600/= ikapanda mpaka 2300
Tatizo waropoka tuHizo kemikali Nazo mwingine mwenye uchungu na sarafu yetu ataanzisha kiwanda chake
Sasa utauza nini kama haulimi au hauna viwanda vikubwa?Tanzania kuna shida sana,
1.No production,Ukiangalia vyanzo vya mapato ya Serikali income tax ndio chanzo kikubwa na cha kuaminika ikifuatiwa na kodi itokanayo na import.mapato yanayotokana na bidhaa tunazozalisha ni kidogo sana.
2.Negative BoP:tunaagiza sana kuliko Ku export.
3.Mikopo
😂Sister acha basi kwani hujui thamani ya pesa kupanda inaimarisha uchumi? Ikipanda thamani means tutaagiza bidhaa kwa gharama ndogo kuliko Sasa mf kama 1usd =800tzs angalau unaweza kutoa Hela ndogo ya kitanzania kununua bidhaa nje kuliko ilivyo sasaWewe unataka hela yetu iwe juu ili ufanyie nini