Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Mama anajitahidi sana kwenye ku-maintain thamani ya shilingi. Amejitahidi mno yaani zaidi ya mno kuhakikisha shilingi haishuki thamani tangu kapokea kijiti March 2021. Awamu ya tano ndo ilikuwa hovyo mno kwenye kuhakikisha shilingi haishuki thamani. JPM aliiharibu kabisa shilingi. Tujikumbushe hapa historia ya shilingi dhidi ya dola ya kimarekani tangu 1961.

December 1961: 1$ = TZS 7 (Hapa tulikuwa tunapata uhuru)
December 1985: 1$ = TZS 16 (Hapa ndo Mzee Mwinyi kachukua urais)
December 1995: 1$ = TZS 569 (Mwinyi kwenda kwa Mkapa)
December 2005: 1$ = TZS 876 (Mkapa kwenda kwa Jakaya)
December 2015: 1$ = TZS 1169 (JK kwenda kwa JPM)
March 2021: 1$ = TZS 2330 (JPM kwenda kwa Mama)
Leo April 2023: 1$ = TZS 2350
Mpumbavu mwingine na data za kupika, eti mwaka 2015 $ ilikuwa 1169Tsh, wewe pia ni reflection ya uongozi uliopo, madebe matupu, kichwani zero.
 
Tukiacha kuagiza 'Shilingi' itaimarika?
Ngoja nikuelekeze kibwengo wewe, kwa mfano ninataka kuagizia bidhaa china regardless ya bei yake. US moja ni sawa na tshs za kitanzania 2340.19. Ila Chinese Yuan moja ni sawa na tshs 339.34 za kitanzania.

Kibiashara tukifanya deals kwa kutumia pesa ya mchina ambaye ndie biggest business partner wa Africa kwasasa na tunanunua kwake bidhaa kwa asilimia 90% it means tutapunguza gharama kubwa sana.

Marekani pesa yake imekaa hapa kama kiudalali tu na haina faida kwetu eneo la imports zaidi ya kutuletea inflation katika uchumi wetu.

Kimsingi tukianza kutumia currency za hawa business partners wetu yaani China na Japan tutasave gharama kubwa sana eneo la imports ingawa kwenye exports hatutapata sana unless tufanye maboresho ya mnyororo wa thamani ili bidhaa tunazowauzia ziwe na bei ya juu kidogo tupate faida.

Ukitaka kuona hii kitu jaribu kutest kama unaagizia bidhaa kwa kutumia Yuan halafu convert kuja pesa ya Tanzania then kitu hicho hicho nenda kukicheki kwa dollar then leta kwa bei ya Tanzania utaona tofauti ya bei ilivyokuwa kubwa.
 
Tuzalishe ndani bidhaa tunazonunua nje. Vinginevyo shilingi itazidi kuporomoka.

Bidhaa ambazo hata hapa ndani twaweza kutengeneza ya nini tuagize nje?

Hizo tusizoweza kuzizalisha lakini tunaagiza kwa wingi, tupange mikakati ya kuzalisha hapa. Hata kama ni kwa developmental state approach ilimradi tujitegemee.

Miongo ijayo ndio hali itakuwa mbaya zaidi kama hatutakuwa na viongozi wenye uzalendo wa kweli kwa taifa lao.
Sio kwa hawa viumbe wa kijani ndio tuwategemee.
 
Tuigeuze na kuipa majukumu mapya BOT, ondoa politics pale na wafanye kazi including kuilinda sarafu yetu na rates zake,tuchukue ths.yetu na kuipandikiza kwenye BWP,futa zeros zote tubakiwe na noti ya she.100tu kwenye mzunguko wetu, tudhibiti matumizi makubwa ya serikali including to have serikali ndogo iliyo smart, tusiagize zaidi kuliko tunavyouza nje
Na masharti ya IMF watamuachia nani?! Wamesaini mikataba marekani amewashika kwenye mapumbu mabwege hawa hawana ujanja.
 
Huna akili, JPM aliapishwa Nov 2015 na sio Jan, alimaliza kuunda baraza lake la Mawaziri late DEC 2015, kwa hiyo sera za JPM athari zake ni kuanzia June 2016 huko hadi alipofariki 2021 March, na muda huo wote $ ilichezea 2200 - 2300. Huyu mama ndani ya mwaka tu ameshaipaisha hadi 2400, ikifika 2028 itakuwa 3500 kwa 1 $.
Ndugu achana na walamba asali huwa wanajizima data kwa muda sema technology ndo huwa inawaumbua
 
Mpumbavu mwingine na data za kupika, eti mwaka 2015 $ ilikuwa 1169Tsh, wewe pia ni reflection ya uongozi uliopo, madebe matupu, kichwani zero.
Mimi naona hadi kinyaa kubishana na hawa nguruww yaan mlengwa hapo ni jpm 2015 dolla nilibadilisha 2300 na kuna kipindi ilifika 2400 ikarudi sijui welifanyaje huku ndo tunakoelekea kwa huyu mama lazima itafika 4500 soon halafu watakuj kusema mama anaiponya nchi huku Bereu zikirudia ile tibia yao ya kutorosha dolla
 
Kudadadeki hata mfanyeje hamrudi ikulu ng'o, ngurruwer nyie, jitu lilifunga funga kila kitu na kuwadanganyia eti mzalendo wa wanyonge sijui nani huko pambaf kabisa, mlilamba sana enzi yenu halafu mkaleta zarau sanaa mkasahau kwamba kuna aliye juu ya vyote, asante sana Mungu
 
Uchumi unakua ka kasi ya ajabu, tuna waziri msomi sana wa wizara ua fedha
 
Nchi tuna tatizo kubwa, ccm imeoza, upinzani nao hujielewi

Hayo ni maoni yako,
Tatizo haujafanyika uchaguzi huru na wa haki. Wananchi wataamua Nani anayejielewa na Nani hajielewi
 
😂Sister acha basi kwani hujui thamani ya pesa kupanda inaimarisha uchumi? Ikipanda thamani means tutaagiza bidhaa kwa gharama ndogo kuliko Sasa mf kama 1usd =800tzs angalau unaweza kutoa Hela ndogo ya kitanzania kununua bidhaa nje kuliko ilivyo sasa
Lazima ununue Kwa dola tu unaaccount benki inasoma m.500 halafu ukitaka kununua kitu ni lazima ikatwe Kwa dola , Sasa Kwa watu mf. Wanaohudumia watalii dola ikishuka ni hasara,wafanyabiashara wowote wanaotegemea dola ni hasara kweli,pesa yetu hainaga dhamani siku zote mf. Dola Moja today is 2350tsh Sasa ukizidisha na mf. 500 unapata nyongezakubwa tu yakuishi town hapa
 
Lazima ununue Kwa dola tu unaaccount benki inasoma m.500 halafu ukitaka kununua kitu ni lazima ikatwe Kwa dola , Sasa Kwa watu mf. Wanaohudumia watalii dola ikishuka ni hasara,wafanyabiashara wowote wanaotegemea dola ni hasara kweli,pesa yetu hainaga dhamani siku zote mf. Dola Moja today is 2350tsh Sasa ukizidisha na mf. 500 unapata nyongezakubwa tu yakuishi town hapa
Nadhani watu kama wa utalii wanafaidika sana.
 
Lazima ununue Kwa dola tu unaaccount benki inasoma m.500 halafu ukitaka kununua kitu ni lazima ikatwe Kwa dola , Sasa Kwa watu mf. Wanaohudumia watalii dola ikishuka ni hasara,wafanyabiashara wowote wanaotegemea dola ni hasara kweli,pesa yetu hainaga dhamani siku zote mf. Dola Moja today is 2350tsh Sasa ukizidisha na mf. 500 unapata nyongezakubwa tu yakuishi town hapa
Kufa kufaana atapata hasara wa bureau de change ila mfanyabiashara wa bidhaa na mfanyakazi na mtu wa kawaida itakuwa nafuu
 
Kudadadeki hata mfanyeje hamrudi ikulu ng'o, ngurruwer nyie, jitu lilifunga funga kila kitu na kuwadanganyia eti mzalendo wa wanyonge sijui nani huko pambaf kabisa, mlilamba sana enzi yenu halafu mkaleta zarau sanaa mkasahau kwamba kuna aliye juu ya vyote, asante sana Mungu
Na kamwe hatuyapi nchi tena haya mafuasi ya maiti wa Chato
 
Back
Top Bottom