Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Thamani ya pesa yetu inazidi kuporomoka. Shida ni nini?

Hata kama alikuta ni 1500 yeye ndio chanzo cha haya yote.Magufuli aliua uchumi wa Nchi hili lipo wazi sana ikijumuisha na projects zake kubwa zinazopeleka nje hela ndio kabisa.
Ujenzi wa Daraja la Busisi haukupaswa kuwepo.
Reli kwenda Mwanza, Kigoma haikupaswa kuwepo, wangewekeza kwenye reli ya kwenda Tunduma maana mizigo mingi ya kwenda nje hupitia hapo

Kuhamia Dodoma zaidi ya Tril 4 zimetumika au zitatumika hadi wakamilishe

Kununua mandege
 
Ujenzi wa Daraja la Busisi haukupaswa kuwepo.
Reli kwenda Mwanza, Kigoma haikupaswa kuwepo, wangewekeza kwenye reli ya kwenda Tunduma maana mizigo mingi ya kwenda nje hupitia hapo

Kuhamia Dodoma zaidi ya Tril 4 zimetumika au zitatumika hadi wakamilishe

Kununua mandege
Upeo wakufikili ni finyu
 
Tuliondoe hili jinamizi tuweke kitu gani?
ACT
CDM
NCCR
AU?

Nchi haina mtetezi ni watetea matumbo
Wananchi wenyewe wataamua,nasio majeshi na vyombo vya dola wanaoiweka CCM madarakani kwa nguvu
 
Wananchi wenyewe wataamua,nasio majeshi na vyombo vya dola wanaoiweka CCM madarakani kwa nguvu
Nchi tuna tatizo kubwa, ccm imeoza, upinzani nao hujielewi
 

Attachments

  • inbound3344264711862192284.jpg
    inbound3344264711862192284.jpg
    205.3 KB · Views: 5
Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Duuh hiyo TSh 2350 umeipata wapi mbona kwangu nimeona 2286.00
 
Mataahira ya magufuli soma hapooooo
Huna akili, JPM aliapishwa Nov 2015 na sio Jan, alimaliza kuunda baraza lake la Mawaziri late DEC 2015, kwa hiyo sera za JPM athari zake ni kuanzia June 2016 huko hadi alipofariki 2021 March, na muda huo wote $ ilichezea 2200 - 2300. Huyu mama ndani ya mwaka tu ameshaipaisha hadi 2400, ikifika 2028 itakuwa 3500 kwa 1 $.
 
Ujenzi wa Daraja la Busisi haukupaswa kuwepo.
Reli kwenda Mwanza, Kigoma haikupaswa kuwepo, wangewekeza kwenye reli ya kwenda Tunduma maana mizigo mingi ya kwenda nje hupitia hapo

Kuhamia Dodoma zaidi ya Tril 4 zimetumika au zitatumika hadi wakamilishe

Kununua mandege
Muda wote wakati JPM anatekeleza hiyo miradi Tsh ilikuwa stable, wameingia majizi na mafisadi tu pesa imeanza kuporomoka thamani, kwani hiyo miradi imeanza mwaka huu ?
 
Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
Mwigulu angekuwa mungwana ange re-sign


Lkn Hana akil that's why anang'ang',ania. He could leave the office
 
Uchumi upo hivi..uwiano wa kusafirisha na kuagiza lazima uwepo...mfano China anauza zaidi kuliko kuagiza hivyo anapata hela nyingi kuliko kutoa hapa lazima Uchumi upo juu.
Kwa Tz nikinyume. ..sisi tunaagiza zaidi kuliko kuuza. ..tunakopa zaidi kuliko kukopesha wenzetu hivyo Uchumi lazima ushuke. .
 
Huna akili, JPM aliapishwa Nov 2015 na sio Jan, alimaliza kuunda baraza lake la Mawaziri late DEC 2015, kwa hiyo sera za JPM athari zake ni kuanzia June 2016 huko hadi alipofariki 2021 March, na muda huo wote $ ilichezea 2200 - 2300. Huyu mama ndani ya mwaka tu ameshaipaisha hadi 2400, ikifika 2028 itakuwa 3500 kwa 1 $.
Pumbas, chizi anatoa story
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
 
Muda wote wakati JPM anatekeleza hiyo miradi Tsh ilikuwa stable, wameingia majizi na mafisadi tu pesa imeanza kuporomoka thamani, kwani hiyo miradi imeanza mwaka huu ?
Na kweli majizi hawa na mafisadi ndio walifungulia account ya plea bargain chinaaaaa 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na kweli majizi hawa na mafisadi ndio walifungulia account ya plea bargain chinaaaaa 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huna akili wewe, wewe ndio reflection ya uongozi uliopo saivi , madebe matupu, hata kufanya simple research ya ku goggle exchange rate umeshindwa, nenda kachukue buku 7 yako ya uchawa kutoka kwa majizi sasa.
 
Mama anajitahidi sana kwenye ku-maintain thamani ya shilingi. Amejitahidi mno yaani zaidi ya mno kuhakikisha shilingi haishuki thamani tangu kapokea kijiti March 2021. Awamu ya tano ndo ilikuwa hovyo mno kwenye kuhakikisha shilingi haishuki thamani. JPM aliiharibu kabisa shilingi. Tujikumbushe hapa historia ya shilingi dhidi ya dola ya kimarekani tangu 1961.

December 1961: 1$ = TZS 7 (Hapa tulikuwa tunapata uhuru)
December 1985: 1$ = TZS 16 (Hapa ndo Mzee Mwinyi kachukua urais)
December 1995: 1$ = TZS 569 (Mwinyi kwenda kwa Mkapa)
December 2005: 1$ = TZS 876 (Mkapa kwenda kwa Jakaya)
December 2015: 1$ = TZS 1169 (JK kwenda kwa JPM)
March 2021: 1$ = TZS 2330 (JPM kwenda kwa Mama)
Leo April 2023: 1$ = TZS 2350
 
Back
Top Bottom