SAWA AFISA, umemaliza shule yako lakini?Yes, nimemaliza hela huoni haina dhamani utaenda wapi nayo nje hatuko kwenye mabangoo yakubadilishia pesa uone haina dhamani Bora dola iwe juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA AFISA, umemaliza shule yako lakini?Yes, nimemaliza hela huoni haina dhamani utaenda wapi nayo nje hatuko kwenye mabangoo yakubadilishia pesa uone haina dhamani Bora dola iwe juu
Leo dola moja ni Tsh 2350 mtandaoni. Gharama za vitu tunavyoagiza itazidi kupanda. Shida nini pesa yetu kuporomoka namna hii? Hivi kuna namna tunaweza kuachana na kuagiza vitu kwa dola?
![]()
Serikali yatangaza mlipuko wa kipindupindu Ilala
Wizara ya Afya imetangaza mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika halmashauri ya Ilala jijini Dar es Salaam huku watu 10 wakithibitika kuwa na ugonjwa huo.www.mwananchi.co.tz
KANISA ni nini?Huyo mungu wako ukiwa huna sadaka huendi kanisani
Huu ni uongo wa Hali juu December 2015 dollar ilikua 1169? [emoji3061]Mama anajitahidi sana kwenye ku-maintain thamani ya shilingi. Amejitahidi mno yaani zaidi ya mno kuhakikisha shilingi haishuki thamani tangu kapokea kijiti March 2021. Awamu ya tano ndo ilikuwa hovyo mno kwenye kuhakikisha shilingi haishuki thamani. JPM aliiharibu kabisa shilingi. Tujikumbushe hapa historia ya shilingi dhidi ya dola ya kimarekani tangu 1961.
December 1961: 1$ = TZS 7 (Hapa tulikuwa tunapata uhuru)
December 1985: 1$ = TZS 16 (Hapa ndo Mzee Mwinyi kachukua urais)
December 1995: 1$ = TZS 569 (Mwinyi kwenda kwa Mkapa)
December 2005: 1$ = TZS 876 (Mkapa kwenda kwa Jakaya)
December 2015: 1$ = TZS 1169 (JK kwenda kwa JPM)
March 2021: 1$ = TZS 2330 (JPM kwenda kwa Mama)
Leo April 2023: 1$ = TZS 2350
Wewe unaweza kunibishia mimi?Huu ni uongo wa Hali juu December 2015 dollar ilikua 1169? [emoji3061]
Mjinga kama wewe huna hadhi ya kibishiwa, ni kuwa ignored, unawakilisha ujinga wa hao unawapamba.Wewe unaweza kunibishia mimi?
Unamlisha jirani ambaye yeye aneacha kulima maana Kilimo hakiwalipi wakulima wake. Hivyo wakulima wakaamua kuwa wafanyabiashara wa nafaka na madalali wakichukua mazao kwako na kuongeza thamani na kuuza ndani na nje ya soko Lao. Halafu wewe eti unavuka mabara kwenda kununua nafaka nje. Hapa sielewi kama tuna watu huko wizarani Wana akili ya mahesabu au wenye akili waliajiriwa sekta binafsi? Inauma Sana Mkuu.Kuna kisiwa kinadaiwa trilioni 91 huko, ukiuliza nini, unaambiwa, walikopa MCHELE.
Kweli? Unakopa mchele? 945,000km square of mass land!
Wengine wakaenda kununua mchele nje, kweli?
Wageni wananunua mazai shambani!
Pesa za mikopo zinanunua mabasi na malori, V8 za kuwahonga kina barabara.
Shilingi ikae wapi sasa? Haina pa kujishika, itaporomoka mpaka maka!
Ndiyo ila baadhi mitaji yao ilifilisiwa na yule mfilisi aliyetutoka na inatafutwa ilipowekwa na yule mfilisi bado haionekani. 🤣🤣🤣. Kua uyaoneKwani maduka ya kubadilisha fedha za kigeni yameruhusiwa tena?
Na bureau na banks zilikuwa zinauzwa 2300 hivi.Wewe mnafiki sana! Nyie ndio View attachment 2598635mataahira ya Samia! Soma hapo!
Kuna ukata mkubwa Sana wa dola na dd ni kubwa i.e supply<demand ikiashiria excess demand maana biashara zinafunguka hivyo lazima bei ya dola ipande Sana. Impact ya suppression ya Uchumi 2015-2020 itatula maeneo mengi mno ikiwemo foreign exchange.Mabenki kwasasa yameweka limit transfer za USD, wengine $5k , $10k per day! USD itapaa zaidi soon!
Hiyo rate kanunue kwenye tovuti,huku mtaani Dola 1 inanunuliwa kwa 2425 kama hautaki hauipati na utafeli.siyo kweli kitu gani, fuatilia taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika. Leo hii tar 24.04.2023 dola ya Marekani ilinunuliwa kwa sh. 2301 na kuuzwa kwa sh 2324. Taarifa ya BOT. nenda hata kwenye tovuti yao siyo mnajidanganya vijiweni. Huyo mpotoshaji ana malengo yake maovu.
Sukari kilo @3,500Jamaa alipandisha sana dora, na sio alipandisha tu ilikua haipatikani kabisaaaa
Wewe sukari kaikuta 1200, usiku mmoja tu ikawa haipatikani i chi nzima na siku ya pili bei ni 3500 tena ndani ya mwezi wa ramadhani? Jamaa alikuwa hafai kuongoza hata wanyama