Thamani ya TSH imeshuka huu ndio msosi wa buku nne

Ukute upo mkoa kagera yaani ni mkoa wa ajabu sana , msosi wake ni msosi wa hivyo hivyo , yaani unakula lakini huna namna kwa kweli, nimewahi kwenda huko wilaya kyerwa asee maisha yapo juu sana haswa chakula wali maharage elfu 3 na mia 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…