To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Wewe tupo pamoja kabisa ✌️Ha ha ha chips za kutupia hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Wewe tupo pamoja kabisa ✌️Ha ha ha chips za kutupia hizo
Mbeya wapo vizuri nilikuwa Tunduma unakula unafurahia pesa yakoHapa uyole huo msosi ni buku jero
Kupata kwako chakula kidogo usihusishe na TSH ,hujafika baadhi ya mikoa yenye viazi chipsi za kutoshaWakuu mjini pagumuView attachment 3253792
Na Hizo Chips ni kiporo....Wakuu mjini pagumuView attachment 3253792
Wa namna hiyo huwa pesa zao hakuna maajabu wanayofanya ni mambo ya kawaida tu.Wafanyabiashara wanapata faida ya haramu....wanatupiga sana.
Wa namna hiyo huwa pesa zao hakuna maajabu wanayofanya ni mambo ya kawaida tu.Wafanyabiashara wanapata faida ya haramu....wanatupiga sana.
kwa iyo mia 2 jumlisha buku unapata mia sabaAcha uongo hapo ni miasaba.. Samaki 200 na chipsi za buku
Sasa miasaba umeipataje shivooo..... Samaki 200 na chips 1000....si ni 1200.....Acha uongo hapo ni miasaba.. Samaki 200 na chipsi za buku
Duuh si mkoa wenye rutuba na Mvua za kutosha? Shida nini?Ukute upo mkoa kagera yaani ni mkoa wa ajabu sana , msosi wake ni msosi wa hivyo hivyo , yaani unakula lakini huna namna kwa kweli, nimewahi kwenda huko wilaya kyerwa asee maisha yapo juu sana haswa chakula wali maharage elfu 3 na mia 5
Hali ni mbaya sana. Watapona akina Lucas Mwashambwa na Kafulila tu et alWakuu mjini pagumuView attachment 3253792
Mbona ndogo hio inategemea na location zingine mjini bila elf 25 ujapata msosi huoWakuu mjini pagumuView attachment 3253792
Biashara huriaSiku hizi masamaki makubwa makubwa ya ziwa victoria minofu inapelekwa ulaya, sisi tunaachiwa visamaki vidogo kama mjusi.
So sad!