kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Chips zinaonelana mbaya,,,, mafuta mengi, hiyo 📷 haijakaa poa pia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au mbona 🙄 una shida ya macho?Chipsi za kurushia kitaalamu zinaitwa vipi, na zinauzwa bei gani? 🙄
CancerHuyo samaki au
ni aina gan!?
Shida sio hioo tuChips zinaonelana mbaya,,,, mafuta mengi, hiyo 📷 haijakaa poa pia!
Nilikuwa sina miwaniAu mbona 🙄 una shida ya macho?
Hapo sawa, kwa hiyo ile samaki itakuwa 4000Unanunua samaki au mishkaki then unaomba kurushiwa chips kidogo kama unavyopewa kachumbari
Huko atakuwa ameuziwa...hayo niliyoandika nazungumzia uyole yetuHapo sawa, kwa hiyo ile samaki itakuwa 4000
Wapi HAPO mkuuWakuu mjini pagumuView attachment 3253792
🤣🤣🤣🙌Nilikuwa sina miwani
[emoji1][emoji1][emoji1] ila watu daah!!Hizo n chips ama sumu
Kama ulizilaa HATA nusu.Wakuu mjini pagumuView attachment 3253792
Zimeisha na sikushibaKama ulizilaa HATA nusu.
Mkuu we kidume WA nguvuu
DSM kurasiniWapi HAPO mkuu
Chips za magimbiHizo n chips ama sumu
Ha ha ha chips za kutupia hizoHapana,hizo ni chips za kurushia