Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Unaelewa kweli mzee?Hasira za nini wivu tu tuliwaonya kuwa Magufuli = Samia hamkusikia hivi kuna mlevi kama Mbowe? Aliondoka tu Magufuli hakuondoka na mfumo wa CCM
Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app