Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Habari za mida hii Wakuu hope mko vema na jumapili inaenda vizuri,
Okey twende kwenye Mada kidogo
Kuna kitu wengine hatujui kama mimi ukiniambia maswala ya Dollars najua ni hela ya kimarekani ila sasa shida inakuja hapa.
Mfano mtu anakwambia Dollar $2 hapo sijui kwa hela yetu ya Tanzanian ukiibadirisha inakuwa sh ngapi?
So mwenye uelewa anaweza Nisaidia ni hivyo tu yani!..🙏
Okey twende kwenye Mada kidogo
Kuna kitu wengine hatujui kama mimi ukiniambia maswala ya Dollars najua ni hela ya kimarekani ila sasa shida inakuja hapa.
Mfano mtu anakwambia Dollar $2 hapo sijui kwa hela yetu ya Tanzanian ukiibadirisha inakuwa sh ngapi?
So mwenye uelewa anaweza Nisaidia ni hivyo tu yani!..🙏