Thank You Cocacola I am Humbled !

Thank You Cocacola I am Humbled !

Heheheh acha tu........ nimegundua nikiwa idle kiwango cha umbea kinapanda

Halafu unajua watu wazima wakiwa wanasutana inastaajabisha na kusikitisha sambamba na kuburudishaView attachment 218883



Hahahaah naripoti live from insta


Instagram watakuja TZ very soon kutoa 'shukrani'..
maana TZ ime hit..umbea una talents za kutosha TZ..
 
Waje tu aisee

Ingawa ukiondoa umbea uliojaa huko pamoja na kujishoo watz wanajua kutukana insta uwiiiiiiiii matusi yote chini ya jua utayaonea huko

Hofu yangu inachangia kuharibu maadili ya vijana


Instagram watakuja TZ very soon kutoa 'shukrani'..
maana TZ ime hit..umbea una talents za kutosha TZ..
 
Waje tu aisee

Ingawa ukiondoa umbea uliojaa huko pamoja na kujishoo watz wanajua kutukana insta uwiiiiiiiii matusi yote chini ya jua utayaonea huko

Hofu yangu inachangia kuharibu maadili ya vijana


Ni process ya kutumia technology labda tutazoea tutaacha
na kuitumia better zaidi....

Siku hizi watu wanajiondoa FB na magroup ya Watsapp...taratibu tutazoea
 


- Kampuni ya Cocacola hivi kuanzia leo imeanza kutoa heshima kwa all Super Stars wa Tanzania ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwatengenezea makomo maalum ya Soda zao ambayo yataanza kuuzwa madukani hivi karibuni.

Ma Star wengi leo wamekabishiwa rasmi makopo hayo yenye majina yao ambayo ni mfano wa makopo ya soda zitakazoanza kuuzwa madukani hivi karibuni, baadhi ya Ma Star waliopewa makopo hayo leo ni pamoja na Mshindi wa Big Brother Idriss, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Martin Kadinda na Le Mutuz Nation.

- Naomba again kuwashukuru sana wapenzi wangu wengi hasa wa hapa JF haya yasingewezekana bila ya nyinyi and I mean it nawashukuru sana from the bottom of my soul, thank you JF hasa Celebrity Forum na I am humbled sana!!

Le Mutuz[/QUOT

usilete usaniii kwenye jumba la sanaaa

ahaa tupo wengi bas ma star
 

Attachments

  • 1421358821525.jpg
    1421358821525.jpg
    32.9 KB · Views: 378
hivi ww Le mutuz wenzako ndan ya ccm wanandoto yakuwa viongoz wakubwa kweny this nation ww unaprogress kujisifia kisa Lembululaz kaapia kweny coce..??!!ss cc machalii unatufunza nn mkuuuu?
 
hivi ww Le mutuz wenzako ndan ya ccm wanandoto yakuwa viongoz wakubwa kweny this nation ww unaprogress kujisifia kisa Lembululaz kaapia kweny coce..??!!ss cc machalii unatufunza nn mkuuuu?

- I am The King Of All Bongo Social Media Network the making of my own hands and brain, I make money and I do have fun with my life and I do not give a damn about somebody else life I care only my own happiness ok!!

Le Mutuz
 
ww king gani?kingdom or empire gani unamiliki?umri wote huo ndo unatafta ucelebrity ulikuw wap?huu ni mda wakupokea mafao ww ndo kwanzaaaa upo kweny stage yakukua...
 
ww king gani?kingdom or empire gani unamiliki?umri wote huo ndo unatafta ucelebrity ulikuw wap?huu ni mda wakupokea mafao ww ndo kwanzaaaa upo kweny stage yakukua...

- hahahahahahaha ina maana wewe ni mtoto mchanga unayonya maziwa ya mama si ndio? hahahahahaha

Le Mutuz
 
Sijamuelewa huyu jamaa mbona kila mtu jina lake litakuwepo ina maana watanzania wote ni ma star hebu kachambe vizuri chooni mana ma star wameisha
shareacokeza-1110x400.png
 
Sijamuelewa huyu jamaa mbona kila mtu jina lake litakuwepo ina maana watanzania wote ni ma star hebu kachambe vizuri chooni mana ma star wameisha
View attachment 219274

- Cocacola wenyewe wametoa makopo kwa Mastar, lakini hata wewe unaweza kuwaomba wakakutengenezea mimi sikuwaomba ndio tofauti ya mimi na wewe sawa hahahahahahah umeumia inaonekana duh kopo tu!!

Le Mutuz
 
- Tuliza boli kubali yaishe hawa ni cocacola sio kampuni ya Togwa kule kwenu, hawa ana kitengo cha utafiiti hii practice imeanzia UK na USA na sasa imefika bongo wamefanya utafiiti ukaonyesha I am The King of All Bongo Social Media sasa wewe unabakia kugugumia na bado utanisoma sana si niliwaambia mtanisoma tu mpaka muingie kaburini mazafantazzz hahahaha

Le Mutuz

Ha ha ha ha ha mbavu zangu....ivi ili uwe star kwan unatakiwa uee na sifa zipi?
 
Back
Top Bottom