Thank You Cocacola I am Humbled !

Thank You Cocacola I am Humbled !

Over my dead body.

I wish hao Coca cola wapite hapa wakuone ulivyo mtupu kichwani hizi deal za kupeana ni shida bora hiyo nafasi angepewa Joti angesaidia kuboost market hasa kwa watoto wadogo.

Hivi kubebwabebwa huku unakobebwa wewe ndio huwa unawakejeri wenzako eti warudi Bongo kwa akili yako kabisa wewe unastahili fursa hiyo au ni kubebwa tu?

Kama wewe ni Star na Christian Bella aitwe nani? Nchi itaendelea kudumaa kwa kuendekeza hii tabia ya kubebana.

Kuna muda UTU,AIBU NA HURUMA hua unazikumba hizi kampuni, just imagine wapewe masuperstar, imagine mpaka seth apewe halafu wasimpe Le mutuz si mnataka afe jamani?? Mbona hamna huruma?? Kweli si angetoa TAMKO akiwa hosp?? Coce nao wanahuruma jamani sio kwa kujikomba huko then wamuache
 
Njia ya muongo.....
 

Attachments

  • 1421260349390.jpg
    1421260349390.jpg
    86.1 KB · Views: 413
  • 1421260382429.jpg
    1421260382429.jpg
    55.2 KB · Views: 385
Njia ya muongo.....

Jamaa anapenda sifa z kitoto sana pia anatumia nguvu ajulikane mtu kitu ni cha bure yeye kasema kalipwa,juz limepiga picha kichochoroni n kudai nyumba y maza ni kali,ukitazama kwa macho siyo nyumba ni banda l kuku maza mwenyewe ukimwona maisha yamempiga litoto hazimtunzi kabisa kaza kujikomba kwa wanauma nyambafu kabisa
 
Hii imekaavipi wakuu, nimeona kurasa eatv kuwa kampuni ya vinywaji laini ya Coca-Cola inaleta soda zenye lebel ya majina ya watu. Ukweli wa suala hili ukoje?
 
Duh, watu bado wanakunywa soda?

Tena Coca Cola?
 
Is it Ujamaa na Kujitegemea or Uzalendo? can the two be combined? on question of capitalism, does it mean that capitalism lacks patriotism?

That is the dillema facing Africa and Third World on chosing economic ideology and foundation for their own countries.

If we use Patriotism to equate success and stable growth of our countries, then capitalism can never win even though socialism has many flaws, but stands higher morally, hence strong element of patriotism with the likes of Nyerere, Nkrumah, Lumumba, Chaves and Castro!

Albert msando kakuvua nguo kweupeeee
 

Attachments

  • 1421284018832.jpg
    1421284018832.jpg
    80.1 KB · Views: 342
Mojawapo ni jina la Mmiliki wa Bongo Records "P" kule Instagram alishare picha nasi akiwa na hiyo soda.
 
alas! nawe super star kumbe lemtambiz mbona iyo ishu easy sana hata mi nikitaka natengeza jina unapenda misifa we kikongwe washkaji kibao washa tengeza bwegee mijicho ileeee
 


- Kampuni ya Cocacola hivi kuanzia leo imeanza kutoa heshima kwa all Super Stars wa Tanzania ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwatengenezea makomo maalum ya Soda zao ambayo yataanza kuuzwa madukani hivi karibuni.

Ma Star wengi leo wamekabishiwa rasmi makopo hayo yenye majina yao ambayo ni mfano wa makopo ya soda zitakazoanza kuuzwa madukani hivi karibuni, baadhi ya Ma Star waliopewa makopo hayo leo ni pamoja na Mshindi wa Big Brother Idriss, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Martin Kadinda na Le Mutuz Nation.

- Naomba again kuwashukuru sana wapenzi wangu wengi hasa wa hapa JF haya yasingewezekana bila ya nyinyi and I mean it nawashukuru sana from the bottom of my soul, thank you JF hasa Celebrity Forum na I am humbled sana!!

Le Mutuz[/QUOT

usilete usaniii kwenye jumba la sanaaa
 

Attachments

  • 1421330327567.jpg
    1421330327567.jpg
    27.5 KB · Views: 306
Heheheheh le mnazi kaamua kumjibu albert


Nikiripoti kutoka insta
 

Attachments

  • 1421337605603.jpg
    1421337605603.jpg
    77.3 KB · Views: 277
Heheheh acha tu........ nimegundua nikiwa idle kiwango cha umbea kinapanda

Halafu unajua watu wazima wakiwa wanasutana inastaajabisha na kusikitisha sambamba na kuburudisha1421338341219.jpg

Siku ukija kusutwa ntashindwa ingia JF bure lol

Hahahaah naripoti live from insta
 

Attachments

  • 1421338356851.jpg
    1421338356851.jpg
    77.9 KB · Views: 247
  • 1421338391486.jpg
    1421338391486.jpg
    98.9 KB · Views: 249
  • 1421338412800.jpg
    1421338412800.jpg
    79.7 KB · Views: 242
Back
Top Bottom