Heheheh acha tu........ nimegundua nikiwa idle kiwango cha umbea kinapanda
Halafu unajua watu wazima wakiwa wanasutana inastaajabisha na kusikitisha sambamba na kuburudishaView attachment 218883
Hahahaah naripoti live from insta
Instagram watakuja TZ very soon kutoa 'shukrani'..
maana TZ ime hit..umbea una talents za kutosha TZ..
Waje tu aisee
Ingawa ukiondoa umbea uliojaa huko pamoja na kujishoo watz wanajua kutukana insta uwiiiiiiiii matusi yote chini ya jua utayaonea huko
Hofu yangu inachangia kuharibu maadili ya vijana
- Kampuni ya Cocacola hivi kuanzia leo imeanza kutoa heshima kwa all Super Stars wa Tanzania ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwatengenezea makomo maalum ya Soda zao ambayo yataanza kuuzwa madukani hivi karibuni.
Ma Star wengi leo wamekabishiwa rasmi makopo hayo yenye majina yao ambayo ni mfano wa makopo ya soda zitakazoanza kuuzwa madukani hivi karibuni, baadhi ya Ma Star waliopewa makopo hayo leo ni pamoja na Mshindi wa Big Brother Idriss, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Martin Kadinda na Le Mutuz Nation.
- Naomba again kuwashukuru sana wapenzi wangu wengi hasa wa hapa JF haya yasingewezekana bila ya nyinyi and I mean it nawashukuru sana from the bottom of my soul, thank you JF hasa Celebrity Forum na I am humbled sana!!
Le Mutuz[/QUOT
usilete usaniii kwenye jumba la sanaaa
ahaa tupo wengi bas ma star
hivi ww Le mutuz wenzako ndan ya ccm wanandoto yakuwa viongoz wakubwa kweny this nation ww unaprogress kujisifia kisa Lembululaz kaapia kweny coce..??!!ss cc machalii unatufunza nn mkuuuu?
mgaie walau milioni mojaww king gani?kingdom or empire gani unamiliki?umri wote huo ndo unatafta ucelebrity ulikuw wap?huu ni mda wakupokea mafao ww ndo kwanzaaaa upo kweny stage yakukua...
mgaie walau milioni moja
Mkuu alafu hilo kopo unafanyia nini?
Yani kama napata mtoto kama lemutuz nambadilisha kwa gunia la pumba bora wale nguruwe.
ww king gani?kingdom or empire gani unamiliki?umri wote huo ndo unatafta ucelebrity ulikuw wap?huu ni mda wakupokea mafao ww ndo kwanzaaaa upo kweny stage yakukua...
Sijamuelewa huyu jamaa mbona kila mtu jina lake litakuwepo ina maana watanzania wote ni ma star hebu kachambe vizuri chooni mana ma star wameisha
View attachment 219274
- dogo janja hahahahahaha genius hahahahaha
Le Mutuz
- Tuliza boli kubali yaishe hawa ni cocacola sio kampuni ya Togwa kule kwenu, hawa ana kitengo cha utafiiti hii practice imeanzia UK na USA na sasa imefika bongo wamefanya utafiiti ukaonyesha I am The King of All Bongo Social Media sasa wewe unabakia kugugumia na bado utanisoma sana si niliwaambia mtanisoma tu mpaka muingie kaburini mazafantazzz hahahaha
Le Mutuz