Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Hapo kwenye being positive even on negative issues i can't do so! Siwezi aise japo ndio sense of maturity in relationship , ntajaribuAaahahahahahhaaaa
Its all about being ready
Being positive even on negative issues.
And enjoy the moment to the fullest.
Oya mtafute Ginimbi atupe michongo haiwezekaniHaya maneno ni hela tu, ukiwa na hela hii mambo mbona simple tu.
Ngumu sana kuonyesha love(kisasa) bila pesa. Wakuu ikibidi hata njia za mkato tu ili tuzikamate jamani. Ona jamaa alivyom-spoil Kasinde.
Maua ya picha ya kwanza na maua ya picha ya tatu hayafanani..
Dashboard ya picha ya pili na dashboard ya picha ya tatu hazifananii..
Surprise trip ukabeba two different handbags.. Refer pic number 1 and 3 ππ
Fake it until you make it..
Happy Valentine's..
Haya maneno ni hela tu, ukiwa na hela hii mambo mbona simple tu.
Ngumu sana kuonyesha love(kisasa) bila pesa. Wakuu ikibidi hata njia za mkato tu ili tuzikamate jamani. Ona jamaa alivyom-spoil Kasinde.
Duh kweli ukisusa wenzio wanakula!Aaahahahahahhahaahaa
Acha fujoo, huyo hata hahusiki hapa anaogopa βRona kajifungia weekend yote.
Ye mwenyewe Bataringaya akipita hapa atatoa mimacho....π
Uko poa lakini Whackie...?
Duh kweli ukisusa wenzio wanakula!
Duh simsahau yule Rabia! Nilikuwa simfahamu nikampitia karibu alinitemea mate nilisikia harufu wiki nzima!View attachment 1703286
Karibu turejeshe afya ya mwili ....π
Unafikiri mie nna taaabu basi Bataringaya.....π Mabungo tuu na Sanvita....
Kwisha habari yangu.
Hivi unamkumbuka yule bibi wa Kihindi jina lake nimelisahau.... alikuwa ukimcheka kama yuko karibu yako anakutemea mate au anapandisha gauni juu......!!?π€ͺ
Duh simsahau yule Rabia! Nilikuwa simfahamu nikampitia karibu alinitemea mate nilisikia harufu wiki nzima!
Mileage ya trip imesoma ngapi kasie mahaba.!?
Ila mlifika pamoja?!!Sikunakili maana aliyekuwa anaendesha /muongoza njia ni Valentine Babes.
Mie nilikiwa nafurahia wakati tuu vile naendeshwa, napelekwa huku na kule, yaani...... raha mpaka kumoyooo π.
Sikuzingatia tunaenda umbali gani....!
#livethemoment
Ila mlifika pamoja?!!
Sikuzingatia tunaenda umbali gani