Thanks God..Thanks to all JF friends !!

Thanks God..Thanks to all JF friends !!

Hongera sa FL, mungu awazidishie upendo na amani katika ndoa yenu. Muwe mfano mzuri wa kuigwa.
 
Mwenyezi Mungu akujalie baraka tele, uendelee kufarahia ndoa yako kwa miaka mingi zaid na zaid.......


Hongera FL
 
Mwenyezi Mungu awataunglie na kuwazidishia maisha marefu katika ndoa...
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]

Hongera sana dada.....

Mungu awajalie muishi maisha marefu na mzidi kuwa na furaha katika ndoa na familia yenu.........

Salamu kwa shemeji na familia.....

Bala.
 
cONGRATS FL1 NA FAMILIA

whatever you do, remember to put God first, his plans are generic, and it is up to us to build on the principles he taught and relayed through his messengers

nawatakia mfike miaka kumi ya ndoa kama mie kaka yenu ili reflection ya maisha iwe backed up with lots of lessons learnt
 
Hongera sana, Mungu aendelee kuilinda familia yako na kujaliwa mafanikio zaidi.
 
Hongera sana FL1 Mungu aibariki ndoa yako

Hongera sa FL, mungu awazidishie upendo na amani katika ndoa yenu. Muwe mfano mzuri wa kuigwa.

mmmh! Isijekuwa yako na ya firstlady ndio tamu tu.

Mwenyezi Mungu akujalie baraka tele, uendelee kufarahia ndoa yako kwa miaka mingi zaid na zaid.......


Hongera FL

Naona GPS yangu haisomi hapa, hebu nipe uelekeo wa hiyo Malaika hotel nije tule sato!.

Mwenyezi Mungu awataunglie na kuwazidishia maisha marefu katika ndoa...

Hongera sana dada.....

Mungu awajalie muishi maisha marefu na mzidi kuwa na furaha katika ndoa na familia yenu.........

Salamu kwa shemeji na familia.....

Bala.

Kizuri mwambie na mwenzio aonje; wanaosema chungu mbona wameng'ang'ana hawatoki?

Hongera sana mpendwa.

mungu akubariki zaidi na zaidi.

mama wa kwanza hongera sana,nawatakia kila lililo jema

Hongera sana mamake..

cONGRATS FL1 NA FAMILIA

whatever you do, remember to put God first, his plans are generic, and it is up to us to build on the principles he taught and relayed through his messengers

nawatakia mfike miaka kumi ya ndoa kama mie kaka yenu ili reflection ya maisha iwe backed up with lots of lessons learnt

Hongera sana, Mungu aendelee kuilinda familia yako na kujaliwa mafanikio zaidi.


nawashukuruni sana wote kwa mapenzi yenu juu yangu
Kama mniambeavyo baraka kwa mwenyezi mungu ..nami nawaombea kwa mwenyezi mungu akutane na hitaji la kila mmoja wenu
Pia awalinde ,awatunze hata tuweze kusherehekea anniversary yangu ya miaka 50
I love you guys
God bless
 
pole sana AK sijapenda kukukwaza katikamsiku hii muhimu kwangu kulikoni

aa ndugu yangu.................. Yaani ka wivu tu kananisumbua................. japo mi si mchungaji, lakini leo natoa baraka!1........... ubarikiwe sana rafiki na nakutakia kila lililo la heri maishani mwako na mr. president!!...................... ila mwambie AK kashauri apunguze matrip, vinginevyo siku shetani akikatiza mitaa ile, itakula kwake!!............... teh teh....................
 
aa ndugu yangu.................. Yaani ka wivu tu kananisumbua................. japo mi si mchungaji, lakini leo natoa baraka!1........... ubarikiwe sana rafiki na nakutakia kila lililo la heri maishani mwako na mr. president!!...................... ila mwambie AK kashauri apunguze matrip, vinginevyo siku shetani akikatiza mitaa ile, itakula kwake!!............... teh teh....................

hahahahahahah .....AK asante sana sana kwa baraka zako ..wivu wa nini wivu wa ni.. mimi na wangu na wewe una wako te te te ..huu ushauri wako kwa Rais ni muhimu sana kwangu naufanyia kazi kwa kina
God bless
 
Hongera sana mpenzi Mungu akupe haja ya moyo na akuongezee imani na busara ya kuitunza familia yako na kumheshimu mume wako.DAMU YA YESU ifunike familia yako.Usisahau kutoa fungu la kumi ni muhimu for ur spiritual life.
 
Hongera sana Mungu akuongoze na ndoa yako iwe ni ndoa yenye furaha na amani.
 
Back
Top Bottom