BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Hongera sana FL1 Mungu aibariki ndoa yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh! Isijekuwa yako na ya firstlady ndio tamu tu.walioko nje ya ndoa wasiwe wahoga kuingia. Ndoa tamu jamani!
Naona GPS yangu haisomi hapa, hebu nipe uelekeo wa hiyo Malaika hotel nije tule sato!.Malaika hotel my shemeji unakaribishwa sana ...
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:
![]()
mmmh! Isijekuwa yako na ya firstlady ndio tamu tu.
Hongera sana FL1 Mungu aibariki ndoa yako
Hongera sa FL, mungu awazidishie upendo na amani katika ndoa yenu. Muwe mfano mzuri wa kuigwa.
mmmh! Isijekuwa yako na ya firstlady ndio tamu tu.
Mwenyezi Mungu akujalie baraka tele, uendelee kufarahia ndoa yako kwa miaka mingi zaid na zaid.......
Hongera FL
Naona GPS yangu haisomi hapa, hebu nipe uelekeo wa hiyo Malaika hotel nije tule sato!.
Mwenyezi Mungu awataunglie na kuwazidishia maisha marefu katika ndoa...
Hongera sana dada.....
Mungu awajalie muishi maisha marefu na mzidi kuwa na furaha katika ndoa na familia yenu.........
Salamu kwa shemeji na familia.....
Bala.
Kizuri mwambie na mwenzio aonje; wanaosema chungu mbona wameng'ang'ana hawatoki?
Hongera sana mpendwa.
mungu akubariki zaidi na zaidi.
mama wa kwanza hongera sana,nawatakia kila lililo jema
Hongera sana mamake..
cONGRATS FL1 NA FAMILIA
whatever you do, remember to put God first, his plans are generic, and it is up to us to build on the principles he taught and relayed through his messengers
nawatakia mfike miaka kumi ya ndoa kama mie kaka yenu ili reflection ya maisha iwe backed up with lots of lessons learnt
Hongera sana, Mungu aendelee kuilinda familia yako na kujaliwa mafanikio zaidi.
pole sana AK sijapenda kukukwaza katikamsiku hii muhimu kwangu kulikoni
aa ndugu yangu.................. Yaani ka wivu tu kananisumbua................. japo mi si mchungaji, lakini leo natoa baraka!1........... ubarikiwe sana rafiki na nakutakia kila lililo la heri maishani mwako na mr. president!!...................... ila mwambie AK kashauri apunguze matrip, vinginevyo siku shetani akikatiza mitaa ile, itakula kwake!!............... teh teh....................