Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Fife mbona simjui na wala simtabui? LOL........ unajua umri huu ushaenda, haya mafumbo ya karne hizi sisi hayakuwa kwenye silabasi zetu..... afu vitu muhimu kama hivi si unaingia hewani straight.Mhh babu mbona hata kwenye thread yako ya shati lako na my fife wako nilikwambia unanibania hujamwaga mabaraka humu? wewe mtu muhimu bwana
Huyo Fife mbona simjui na wala simtabui? LOL........ unajua umri huu ushaenda, haya mafumbo ya karne hizi sisi hayakuwa kwenye silabasi zetu..... afu vitu muhimu kama hivi si unaingia hewani straight.
Bado sijakusamehe ujue.
Bia nyingi sana muda wote glass imejaa bia utakumbukaje sasa
Mhh babu leo umevaa miwani yako eeee, haya najua unataka nini hii hapa "im sorry babu yangu" wako mjukuu mtiifu gagaHuyo Fife mbona simjui na wala simtabui? LOL........ unajua umri huu ushaenda, haya mafumbo ya karne hizi sisi hayakuwa kwenye silabasi zetu..... afu vitu muhimu kama hivi si unaingia hewani straight.
Bado sijakusamehe ujue.
Mwongozo toka kwa homemoy wako: Tukutane JJ saa kumi jioni kuujadili huu mswada.Hommie naomba mwongozo wako hapa chini....dah
ina maana mi sinywi kabisa hommie? LOL au Gaga ananirusha roho tu
And what took you so long? Forgiven.....and you know I mean it, don't you Gaga?Mhh babu leo umevaa miwani yako eeee, haya najua unataka nini hii hapa "im sorry babu yangu" wako mjukuu mtiifu gaga
Hamna yaaani unapanda mti na kukata papo kwa papo
Mwongozo toka kwa homemoy wako: Tukutane JJ saa kumi jioni kuujadili huu mswada.
Babu kumbe na wewe ni mmoja wa wale wanajf wa jj basi nakujua......nashukuru umenisamehe babu yangu, sorry nimechelewa kutambua kosa languMwongozo toka kwa homemoy wako: Tukutane JJ saa kumi jioni kuujadili huu mswada.
And what took you so long? Forgiven.....and you know I mean it, don't you Gaga?
Babu kumbe na wewe ni mmoja wa wale wanajf wa jj basi nakujua......nashukuru umenisamehe babu yangu, sorry nimechelewa kutambua kosa langu
Babu kumbe na wewe ni mmoja wa wale wanajf wa jj basi nakujua......nashukuru umenisamehe babu yangu, sorry nimechelewa kutambua kosa langu
wewe sasa ndio kakwambia mkutane jj
Kaizer.........
Kuna point ya kui-file hapa chini........ hebu do the needful na logistics zote ukizingatia itifaki
Gaga unataka kuwa kama mbunge wa CCM? Kutakuwa na sitting allowance.........utaruhusiwa kuupunguza usingizi incase of anything.... sawa eh?wewe sasa ndio kakwambia mkutane jj
Yes....... hapo upo kikazi rasmi. Ngoja nicheki na Sofapaka akufikirie kwenye ile nafasi iliyo wazi.na mimi sasa ndo nikakwambia kwa ajili ya utekelezaji....
Zidumu fikra sahihi za Gaga!For future use pale eee wakati tunashushia mdudu
Zidumu fikra sahihi za Gaga!