Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoiintHapa Casto Dickson Mwananchi wa kawaida, kule ni Antonio Nugaz Mtembezi...maisha yako kasi sana. Watu wengi tunapitia hizo ups and downs sema tu sio celebrities ndo maana sio rahisi kila mtu kujua ila watu wetu wa karibu, familia, ndugu jamaa na marafiki na mitaani wanajua vizuri tu. Anyways, unachokiona leo kwenye maisha yako ulikiandaa juzi na jana. Kila unachokifanya leo basi tegemea matokeo yake kesho na keshokutwa. Hakuna kitu kinatokea kwenye maisha ya mwanadamu bila yeye kuhusika, inaweza kua kwa bahati mbaya ama kupitia mahusiano yetu kwenye jamii tunazoishi nazo. Mungu ni mwema tusichoke kupambana
View attachment 3206412
Komando kipensi alikiwasha sana akiwa kwenye ubora wake pale Clouds
View attachment 3206416
Bad luck ni kama kila kitu kimegeuka kwa sasa
atakuwa anazo nyingi za dizaini hiyoIna maana hata nguo pia hana nyingine? Pole sana kwake.....
Mimi ndio maana nilijiongeza nikaanza kutumia bajaj sina shida na mtu..Ni umaskini na kipimo cha tabu nyingi. Mkuu kama unapanda daladala usijipe moyo, uko kwenye tabu.
Kuna baadhi ya maeneo kuingia na usafiri huwa ni ngumu. Kwa mfano mimi ili kuepuka usumbufu napaki sehemu then nakwea usafiri wa umma mpaka eneo husika. Kuna maeneo unatafuta parking mpaka unachoka na wazee wa chain wanatoa udenda kama fisiKwa hio kupanda dala dala ndio umasikini au kipimo cha tabu?
Are u stupid or just making jokes for clicks???
Halafu wanalaumiwa wana ! Kumbe mambo yetu yake!
Kwa hio kupanda dala dala ndio umasikini au kipimo cha tabu?
Are u stupid or just making jokes for clicks???
😆.... yani niwe naishi ubungo halafu nipate mishe kariakoo.. halafu niende na kigari changu kariakoo niache kupanda mwendo kasi, nitakuwa najipenda kweli? Kuna misele mingine ukitumia daladala ndio unakuwa huruBongo hata ukipanda daladala kwa sababu ni mwanamazingira tu unaepuka kutumia gari lako kuongeza carbon emissions, unaonekana umelosti. 😂😂😂
Vp cover la simuIna maana hata nguo pia hana nyingine? Pole sana kwake.....
Wakati kupanda daladala ni vitu vya kawaida timing tu ya mizunguko yako tuBongo hata ukipanda daladala kwa sababu ni mwanamazingira tu unaepuka kutumia gari lako kuongeza carbon emissions, unaonekana umelosti. 😂😂😂
Casto dicksonBeira Baby Boy a.k.a London Boy mimi huyo mtu simjui asee sijawahi fika huko daslama.