That's life kwa yoyote aliyechangia anguko la huyu mwamba ubaya utamrudia tu

That's life kwa yoyote aliyechangia anguko la huyu mwamba ubaya utamrudia tu

Hapa Casto Dickson Mwananchi wa kawaida, kule ni Antonio Nugaz Mtembezi...maisha yako kasi sana. Watu wengi tunapitia hizo ups and downs sema tu sio celebrities ndo maana sio rahisi kila mtu kujua ila watu wetu wa karibu, familia, ndugu jamaa na marafiki na mitaani wanajua vizuri tu. Anyways, unachokiona leo kwenye maisha yako ulikiandaa juzi na jana. Kila unachokifanya leo basi tegemea matokeo yake kesho na keshokutwa. Hakuna kitu kinatokea kwenye maisha ya mwanadamu bila yeye kuhusika, inaweza kua kwa bahati mbaya ama kupitia mahusiano yetu kwenye jamii tunazoishi nazo. Mungu ni mwema tusichoke kupambana
Poiint
 
Nilichojifunza kwenye huu uzi ni kwamba; daladala ni usafiri wa watu masikini, na pia watu wasio na umaarufu wowote ule kwenye jamii. Kinyume na hapo, utajikuta tayari upo kwenye kundi la huyo Castro.
 
View attachment 3206412
Komando kipensi alikiwasha sana akiwa kwenye ubora wake pale Clouds
View attachment 3206416
Bad luck ni kama kila kitu kimegeuka kwa sasa
Screenshot_20250119-181230.jpg
Screenshot_20250119-181111.jpg
Screenshot_20250119-181230~2.jpg
 
Ni umaskini na kipimo cha tabu nyingi. Mkuu kama unapanda daladala usijipe moyo, uko kwenye tabu.
Mimi ndio maana nilijiongeza nikaanza kutumia bajaj sina shida na mtu..
 
Kwa hio kupanda dala dala ndio umasikini au kipimo cha tabu?

Are u stupid or just making jokes for clicks???
Kuna baadhi ya maeneo kuingia na usafiri huwa ni ngumu. Kwa mfano mimi ili kuepuka usumbufu napaki sehemu then nakwea usafiri wa umma mpaka eneo husika. Kuna maeneo unatafuta parking mpaka unachoka na wazee wa chain wanatoa udenda kama fisi
 
No wonder Serikali yako inafanya SGR bei kubwa badala ya affordable na wewe kama mwananchi unaona ndio ufahari na kutoku lost...

Badala ya kushangaa wanaotumia public transport tungeshinikiza wanaokusanya Kodi zetu wafanye usafiri huu uwe convinient na wa kufaa, In short perception yetu plays right on walamba asali's hands, no wonder tukiambiwa uchumi / hali ya wananchi imekuwa bora ndio maana magari number E ni mengi tunapiga makofi.... Au yule dalali aliyesema kwa wale wasiotaka kulipia kutumia barabara watakwenda kutumia so called za bure (wakati tunalipa kodi) na watu wakamchekea na kumuona ana akili....
 
Kwa hio kupanda dala dala ndio umasikini au kipimo cha tabu?

Are u stupid or just making jokes for clicks???

Usafiri wa daladala Dar es salaam ni tabu tu maisha haya, hata ukitukana matusi huo ndio ukweli. Kutumia public transport si umasikini, lakini mfumo mzima wa unafikiri hapa kwetu ni wa hovyo sana, kwahiyo kama uko super na mishe zako zimekaa sawa huwezi kutegemea daladala.
 
Bongo hata ukipanda daladala kwa sababu ni mwanamazingira tu unaepuka kutumia gari lako kuongeza carbon emissions, unaonekana umelosti. 😂😂😂
😆.... yani niwe naishi ubungo halafu nipate mishe kariakoo.. halafu niende na kigari changu kariakoo niache kupanda mwendo kasi, nitakuwa najipenda kweli? Kuna misele mingine ukitumia daladala ndio unakuwa huru
 
Wakuja waga mnacomplicate sana maisha.. labda kwasababu vitu vingi mnavijulia ukubwani.
 
Bongo hata ukipanda daladala kwa sababu ni mwanamazingira tu unaepuka kutumia gari lako kuongeza carbon emissions, unaonekana umelosti. 😂😂😂
Wakati kupanda daladala ni vitu vya kawaida timing tu ya mizunguko yako tu

Ova
 
Alisemaga aliumwa saratani sijui ya damu na bahati nzuri aligundua akiwa ujerumani sijui so angalau akapata matibabu mazuri pamoja na kupona naona clouds wamegoma kumrejesha kazini, na anguko lake lilianza alivyotoka na tunda na kipi do hicho ndo ana hela za urithi
 
Aliumwa sana jamaa ila nahisi na albadir ya mwarabu ilihusika
 
Back
Top Bottom